Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Haahaa haahaaa atakushusha busha mkuu!ekerege apelekwe uchina!
Heehee peleka tu mkuu wakakunyonye ulimi mchana kweupeeee! Haahaa!Kumbe china Nuksi nilitaka kuleta Mzigo,aku sitaki tena
Hawajui na hawaamini kuhusu shirika la haki za binadamu, Aminest Internation wakijipendekeza tu wajue kisu kinawaita!Jicho kwa jicho, jino kwa jino. Ndiyo maana wenzetu wako juu, hakuna kubebana. Uki mess up, off you go!
Zuberi alifanya nini? weka stori kamili.Hali ya usimamizi wa sheria mama ya pale uchina inasonga mbele, Baada ya mtz bwana Zuberi Musa kula kisu wiki mbili zilizopita, sasa ni zamu ya mchina Le yung Chen amehukumiwa kunyongwa, baada ya kukabidhiwa toka Canada alikokuwa akiendeshea shughuli za umafia na kumatwa,
Awali china ilisema haitamnyonga baada ya Canada kusita kumkabidhi, lakini alipotua Beijing sheria ya asili hakuikwepa kwani leo amehukumiwa rasmi kula kisu!