Baada ya mtz bwana Zuberi Musa kunyongwa pale China, sasa kesho zamu ya Mchina!

Baada ya mtz bwana Zuberi Musa kunyongwa pale China, sasa kesho zamu ya Mchina!

sisi tunashindwa nini kuwa na sheria kama hizi?
 
sisi tunashindwa nini kuwa na sheria kama hizi?

mmmh,, tukiweka sheria hizi hapa nchin kwetu,, watabaki viongozi wa chache sana, tena wa kuwahesabu na wa kuwatafuta kwa tochi....
 
.
Mbona nchi yao ndio inayoongoza kwa bidhaa feki duniani. Hakuna kinachonisikitisha kama hizi dawa za kugeuza maumbile mfano makalio ya wanawake; wanazofyetua.
.

Sheria zenu ndo fake, sio bidhaa zao!-----»laumu serikali inayokubali fake goods!
 
Back
Top Bottom