Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Wakuu hii ni mara ya kwanza kukubaliwa na adsense ishu nataka wale wenye uzoefu waniambie malipo yanapokelewa vipi huku tz
Naomba mnijuze
Naomba mnijuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila wapo wanaorudi pili hilo tangazo la juu mtu anaweza kulihide
Nazungumzia SEO Wala sio vinginevyo, kama unajua wapo wanaorudi manake unaelewa wapo wasiorudi, jitahidi sana udeal na wasiorudi mana wanaorudi wengi hawatakuwa na manufaa, btw ni wangapi wanaojua kuhide na wangapi hawajuibkuhide, na kwann umtese visitor ?Sawa ila wapo wanaorudi pili hilo tangazo la juu mtu anaweza kulihide
Ahsante kwa mapendekezoNazungumzia SEO Wala sio vinginevyo, kama unajua wapo wanaorudi manake unaelewa wapo wasiorudi, jitahidi sana udeal na wasiorudi mana wanaorudi wengi hawatakuwa na manufaa, btw ni wangapi wanaojua kuhide na wangapi hawajuibkuhide, na kwann umtese visitor ?
Unatengeneza project afu unafeli mambo madogo, rubbish
Wookay
Hebu leta maoni na wapi unakereka?Mzee mbona matangazo hadi kero... ? Hebu rekebisha hilo swala
Ukifungua tu hiyo site unakutana na matangazo kabla ya kitu chochote..Hebu leta maoni na wapi unakereka?