thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,943
- 1,851
Habari wakuu,
Baada ya kumpoteza kimawasiliano aliyekuwa mpenzi wangu hatimaye nimepata mawasiliano yake.
Nipo hapa nam'bembeleza arudi tena kama Zaman lakini naona maneno yote matamu nimekwisha tanka, wadau Chonde Chonde Naombeni msaada nini cha kuongeza kumlegeza huyu mrembo wangu.
Story nzima ipo kwenye screenshots.
Wake kwa waume,wasichana kwa wavulana mnakaribishwa michango yenu tafadhali kejeli isiwepo maana this is a serious issue. (KWA NIABA YA RAFIKI YANGU) mimi mnyetishaji tu.
#utakula kiburi yako.
Baada ya kumpoteza kimawasiliano aliyekuwa mpenzi wangu hatimaye nimepata mawasiliano yake.
Nipo hapa nam'bembeleza arudi tena kama Zaman lakini naona maneno yote matamu nimekwisha tanka, wadau Chonde Chonde Naombeni msaada nini cha kuongeza kumlegeza huyu mrembo wangu.
Story nzima ipo kwenye screenshots.
Wake kwa waume,wasichana kwa wavulana mnakaribishwa michango yenu tafadhali kejeli isiwepo maana this is a serious issue. (KWA NIABA YA RAFIKI YANGU) mimi mnyetishaji tu.
#utakula kiburi yako.