Baada ya Mwekezaji kukata tamaa Dkt. Kigwangalla asema yuko tayari kununua Hisa awe Mwekezaji mpya!

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
MANJI akiondoka Yanga haifiki popote GSM kaweka mpunga Yanga ile pale una la kusema lingine ?
✍️
Miaka mingapi ndo alikuja GSM? Wakati Yanga inatembeza bakuli na wachezaji wanavamia mashamba ya matikiti na miwa morogoro wewe ulikuwa na umri gani?
 
Miaka mingapi ndo alikuja GSM? Wakati Yanga inatembeza bakuli na wachezaji wanavamia mashamba ya matikiti na miwa morogoro wewe ulikuwa na umri gani?
Tangu MANJI yupo anabambikiwa unga na gwanda za Jeshi NIPO kwa hio pima hapo karibu Quality Centre ujichukulie mazaga
 
hela zetu za vitalu vya uwindaji hizo.
 
Kwa pesa jpi uliyo nayo we mwehu!
Acha ubabaishaji wako wa miaka nenda rudi!
Tena wewe ndie hufai kabisaa kuwa hata kwenye Board!
 
Yaani huyu mtu ni muhuni kwelikweli!
Anafikiri hatumjui!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…