Baada ya Mwenyekiti, Katibu wa Jumuiya wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) naye adaiwa kukamatwa na Jeshi La Polisi usiku huu

Baada ya Mwenyekiti, Katibu wa Jumuiya wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) naye adaiwa kukamatwa na Jeshi La Polisi usiku huu

NETO -Chartism , Ludissim so wawe makini Sana hawa vijana wapo smart Sana na wanafatiliwa Kwa ukaribu na kuungwa mkono na kundi kubwa la vijana
Wanao ubavu kuikataa pesa ya abdul? Wasijetupoteza kama kina wenje.
 
Hakuna wa kuiweza serikali wewe... Hao wote wanacheza tu. Serikali ina mikono nj miguu mirefu mno
Serikali za kidikteta zinategema vyombo vya dola kukaa madarakani, ccm wanategemea mno vyombo vya ulinzi na usalama. Hii movement ya vijana wasio na ajira itaitoa ccm madarakani. Na ndio maana wanapanick. Watoto wa maaskari, wanajeshi, polisi, usalama na ndugu zao hawana ajira. Hilo kundi likiamua kuitoa ccm ni suala la sekunde chache.
 
Hakuna wa kuiweza serikali wewe... Hao wote wanacheza tu. Serikali ina mikono nj miguu mirefu mno
Hapana ni lazima waliangalie vizuri, mimi simaanishi kuna watu nyuma ya hii ishu, Hapana, ila wasi wasi wangu hii ishu inaweza kulipuka na kuwa ya watu wote.
 
Hakuna wa kuiweza serikali wewe... Hao wote wanacheza tu. Serikali ina mikono nj miguu mirefu mno
Hizo huwa ni dhana za kutisha tu watu tu, ingelikuwa hivyo serikali zisingekuwa zinapinduliwa achilia mbali jeshi, wananchi wenyewe wakiamua serikali inasalimu amri, usifanye mchezo na wananchi wakichoka si jeshi wala risasi zitakazowarudisha nyuma
 
Hakuna wa kuiweza serikali wewe... Hao wote wanacheza tu. Serikali ina mikono nj miguu mirefu mno
Kumbuka hata omary Ali Bashir wa sudani alitolewa madarakani kisa mkate umepanda Bei tusichukulie masihara mambo huanza mdogo mdogo wakae chini waone wanatatua vipi hizi changamoto wasomi ni wengi sasa tofauti na enzi za kina ulimboka daktari
Wakizumbaa majuto atakuwa mjukuu wasikilizwe
 
Hapana ni lazima waliangalie vizuri, mimi simaanishi kuna watu nyuma ya hii ishu, Hapana, ila wasi wasi wangu hii ishu inaweza kulipuka na kuwa ya watu wote.
Na Kuna group wasap kule limeanzishwa la watu wote wasio na ajira hapo ndio naona muelekeo mbaya sana
 
Ngoma ikilia Sanaa na ikavuma mvu mvu mvu 🙂 ujue inakaribia kupasuka. Haya Yana mwisho na hauko mbali sana. Hii inanipa kumbukumbu za matendo na matukio ya awamu ya Tano.
 
Nongekuwa na access hata ya kuongea na mkuu wa nchi nongemshauri aache kutumia Dola wakati akishughulikia haya mambo afu washauri hebu jalibuni kumshauri raisi kwa namna Bora
Kwenye hili suala hata lowasa aliwahi sema ajira ni bomu linalo subili mda TU wa kulipuka huwezi kuajiri wote ila serikali itafute namna Bora ya kuwafariji na hata kuajiri kidogo kidogo ila sio kudanganya au kubeza kama mkenda vijana wanahitaji faraja wanapitia mengi sana yenye maumivu makali
 
Bado wapuuzi hao wanaendelea kukamatwa? Bado mweka hazina wao, hawa vijana huwa wanajiona wajuaji sana wanapokuwa vyuoni wanadhani mazingira ya kusoma chuoni na sawa na kuwa kazini. Wanashinikiza waajiriwe kana kwamba serikali ina nafasi nyingi za kuwaajiri za kuwaajiri kwa pamoja. Wengine hawataajiriwa mpaka watazeekea mitaani, ni bora wajiongeze kufanya shughuli zingine waache uvivu wa kuthubutu kuanzisha shughuli zao. Wana mentality mbovu kudhani ukisomea fani fulani ni lazima uajiriwe kwayo
serikali inafanya makusudi tu, walimu wanahitajika sana maana shule zinajengwa kila leo, huko vijini kuna shule hazina walimu, halafu unasikia kuna goli la mama pesa zinaenda kizembe
 
serikali inafanya makusudi tu, walimu wanahitajika sana maana shule zinajengwa kila leo, huko vijini kuna shule hazina walimu, halafu unasikia kuna goli la mama pesa zinaenda kizembe
kama nafasi ziko wazi huko vijiji basi serikali ishinikizwe kutoa ajira huko. Sio mwalimu mmoja kubeba vipindi vingi wakati kuna uwezokano wa kuajiriwa walimu wengine. Mwalimu kujitia kiherehere kubeba vipindi vingi kisa tu kuna upungufu wa walimu shuleni ni ujuha, labda pawe na posho ya kubeba vipindi zaidi
 
kama nafasi ziko wazi huko vijiji basi serikali ishinikizwe kutoa ajira huko. Sio mwalimu mmoja kubeba vipindi vingi wakati kuna uwezokano wa kuajiriwa walimu wengine. Mwalimu kujitia kiherehere kubeba vipindi vingi kisa tu kuna upungufu wa walimu shuleni ni ujuha, labda pawe na posho ya kubeba vipindi zaidi
Ndio maana ya hizo kelele, kuna haja gani fedha zinapelekwa kusiko na tija, goal la Mama lina maana gani sasa
 
Bila
Bado wapuuzi hao wanaendelea kukamatwa? Bado mweka hazina wao, hawa vijana huwa wanajiona wajuaji sana wanapokuwa vyuoni wanadhani mazingira ya kusoma chuoni na sawa na kuwa kazini. Wanashinikiza waajiriwe kana kwamba serikali ina nafasi nyingi za kuwaajiri za kuwaajiri kwa pamoja. Wengine hawataajiriwa mpaka watazeekea mitaani, ni bora wajiongeze kufanya shughuli zingine waache uvivu wa kuthubutu kuanzisha shughuli zao. Wana mentality mbovu kudhani ukisomea fani fulani ni lazima uajiriwe kwayo
shaka wewe ni Mnufaika wa mfumo mbovu wa Ma CCM. Nina hakika wewe ungekuwa wa kizazi hiki ungekuwa omba omba mpaka Sasa, ila Kwa kuwa wewe ni mstaafu allsiyestaafu basi wajukuu wako watakutana na moto huko mbeleni. Mark my words ndg Chawa
 
Hakuna wa kuiweza serikali wewe... Hao wote wanacheza tu. Serikali ina mikono nj miguu mirefu mno
Kwa hiyo hata Mungu mwenyewe haiwezi serikali🤔 BE HUMBLE 👇

Mithali 21:1 Moyo wa mfalme uko mikononi mwa BWANA.

Marko 9:23 YOTE yawezekana kwake AAMINIYE
 
Nilipomsikia mtawala wa koloni hili mmoja akisema tunawaita Dodoma kwa maongezi nilicheka sana.

CCM ijadili na wananchi?

Utaratibu huo umeanza lini?

Ningeshangaa kama wasingekamatwa.
 
Ila Daniel ni handsome boy haswaa, nimempenda buree.
Afu wa kunyumba sasa, woiiiiiih

Wamuachie haraka sanaaa.
 
Back
Top Bottom