Baada ya Nigeria kukataliwa kujiunga na BRICS+, yatuma maombi kujiunga na G20

Baada ya Nigeria kukataliwa kujiunga na BRICS+, yatuma maombi kujiunga na G20

Ukiongea ushirika, kila nchi iko na ushirika na West. Ndio maana China anafanya biashara kwa kiasi kikubwa sana na Marekani. Kwahiyo shida sio ushirika, shida ni itikadi.

Wote unaowaona hapo BRICS, itikadi zao zinapingana na itikadi za magharibi. Kushirikiana kibiashara na nchi za magharibi haibadili ukweli kuhusi misimamo yao!
Itikadi ipi ya India inapingana na itikadi za West ?
 
Mimi nikafikiri Nigeria wamekataa wenyewe kumbe walikataliwa. Kuhusu Ethiopia nao kukubaliwa ni lazima wameona kuna faida kubwa kwao. Ardhi yao wanaweza kuibadilisha na kuwa ya kilimo. Hapo akija mchina kwa viwanda na Brazil kwa kilimo basi hapo wanaangalia maslahi pia.
Nigeria msala
 
Back
Top Bottom