Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Hii story sasa hivi tamu usiku nitakaa roho juu kuogopa niliyoyasoma na hivi ukisoma unavuta picha kabisa mbona balaa hili.
 
Kaka ulipitia magumu sana, pole kwa hayo umenikumbusha na mm niliwahi kupanda mliman nadhan wakaz wa Mwanza wanaelewa jiji lilivyo. Aise sasa nmemalza kukwich na mke wa mtu ilikuwa kama saa 6 ucku nikaamua kurud aiseee nilikuta na fisi wa kufa kufa yan niljikuta nipo gheto lkn kesho yake sasa nilikuwa nakanda tu vidonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekukubali kamanda [emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…