Jamaa saa nne unatoka zako shamba..Hapana mkuu natoka shambani kupandikiza mbegu[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa kuibiwa. Ndio navuka mto ule wa babu nikifika home tu naendelea View attachment 1413568View attachment 1413569
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa lakini siachi kusoma,hivi Joooh anachelewa kupost nyingine sina raha[emoji23]Umeogopa Sana ??
Jamaa saa nne unatoka zako shamba..
huku Jf saa NNE kuna watu wanalia hawana Mishe.
Naomba kuwa tagged kwenye uzi ambao Augustino alikutwa kafa....yaani ule wa kabla ya Joohs kuanza kummwagia maji maiti ya Augustino[emoji26][emoji26]mimi siuoni[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa, mama mwenye nyumba nae it seems ni kigagulaaAache kutafuta hela?!Mama mwenye nyumba alikuwa anakula timing muda wote,alishaziona hela zile[emoji23][emoji23].
sijajua kwanini hua wanatoa sijui wananionea huruma ama vipiKwanini moderate wanafuta aisee HAWAJUI MAISHA TIGHT ila Mimi natania ty mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Afande acha mikwara mbuzi,ww ndo mjinga maana hujamlipa mleta mada.Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
acha uoga, huyo aliyempata sio, na ana mambo mengi mia kidogoHapa nilipo sina raha kwa nn huendelei kutupa madini?nilitaka kwenda kwa mganga kutafuta utajiri nimeahirisha kama mambo yenyewe ndio haya?
Sent using Jamii Forums mobile app
nina uhakika kabisa na mikwara yako hii kama mwanamama mwenye mimba bado utaendelea kupitia kuangalia kama ameendeleza, prove me wrong!Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Mm ulozi sitaki nasema hivi ctaki kwa herufi kubwa. ....Hapana mkuu natoka shambani kupandikiza mbegu[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa kuibiwa. Ndio navuka mto ule wa babu nikifika home tu naendelea View attachment 1413568View attachment 1413569
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nenda kaangalie IsidingoNimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Nimeacha rasmi kusoma muendelezo wako kwasababu unachosha,, siwez kuendelea kusoma ujinga usio na mwisho as if Sina Kaz za kufanya
Huna kazi ya kufanyaAfande acha mikwara mbuzi,ww ndo mjinga maana hujamlipa mleta mada.
Sent using Jamii Forums mobile app