Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi coment humu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naandika app hii inaniandikia

Opps access denied. The site your trying to reach is temporary down itakuwa kunashida kwa baadhi ya wanao tumia app

Imebidi nirudi huku kutumia sijui Google chrome
 
Nilikuwa naandika app hii inaniandikia

Opps access denied. The site your trying to reach is temporary down itakuwa kunashida kwa baadhi ya wanao tumia app

Imebidi nirudi huku kutumia sijui Google chrome
 

Jamaa watestie kombora tu hapo, au zile ndege zetu zinaweza kupasambaratisha na kombora..
 
Angefupisha

Kuna mambo mengi sana tusingeyajua, zilikuwa ni siku chache lakini zenye matukio ya mwaka mzima

Nadhani kwake jamaa zilikuwa siku ndefu na ngumu sana katika maisha yake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba hizo mi ndo naztafuta sana niogee.....Mkuu iko pande zip mana umaskini nmechoks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naandika app hii inaniandikia

Opps access denied. The site your trying to reach is temporary down itakuwa kunashida kwa baadhi ya wanao tumia app

Imebidi nirudi huku kutumia sijui Google chrome
Daa pole sana wacha tuvumilie tu.

Ila hii story ikiisha itabidi tutengeneze kikundi tukisajiri tukachukue mkopo halmashauri maana kwa huu ushirikiano tutafanikiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila joooh asiwe mwenyekiti wa kikundi asije akatupandia maharage bure members wote,afu hela akanunulia kuku na spoku,maharage yakikuwa atujie na kwanja badala ya kakisu si mnajua akishajilipuwa anakuwaga sio yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakuja ngoja nikavute tena[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Nani anawasha taa mkuu...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…