Unamlisha mwenzio tango porisafi mkuu, yani we jaribu kusogeasogea usiogope, ukikaribia sema maneno haya, mizimu ya kwetu naomba mnilinde halafu rekodi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo lilikukuta maeneo kama hayo
Ndio utajua kwa nini kigezo cha kwanza cha kuwa askari jeshi
ni kutumua mbio
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi coment humu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mwanangu tusikuponze msije mkachezea makofi bure...
Afu jamaa wanalengaga sehemu moja tu wakianza kupiga hawabadilishi sehemu nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema badala ya kupiga picha,wew record voice yan sogea hadi dirishani alafu sema "hilooooo nimewaonaa" afu uje utuambie walijibuje...
Nakuja ngoja nikavute tena[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Walee ambao mlikiwa hamumjui mama mwenye nyumba huyu apaa. View attachment 1413847
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenyeji wa hapa wanasema taarifa wanazo na kila anaethubutu kuingia humo hukipata cha mtema kuni ikiwemo na kifo, mpango wa mwisho ilikuwa ni kuwatumia wanajeshi wakaichome moto kilichotokea ni simulizi yenye ukakasi. Kila mganga akiingia humo baada ya siku kadhaa ataumwa sana na kupoteza uhai. Ni nyumba iliyozungukwa na ile miti ya mazambarau.. halafu kutokana na watu kutokupakaribia kwa hiyo kuna kichaka kimeoteana hapo. Pako kama sehemu ya mizimu tu, kwa hiyo pamebaki hivyo hivyo
Sawa mkuu naona app imerudi sawa InaendeleaDaaah tupo macho mkuu tupia vitu
Sema tukiacha masihara kama jamaa angefupisha story asingekunywa uji mjue,na ile njaa tungezungumza mengine
Angefupisha simu zisingezima chaji maana zilikaa muda mrefu bila kutumiwa
Angefupisha asingelala na maiti sikutatu,pengine angekaa nayo ndani dakika 2 tu..
Pengine angefupisha mama mwenyenyumba angelala mapema sana kuliko kutoa toa macho jamaa anavyotapatapa
Afu angefupisha sanaaaa asingepitia yote haya,pengine angekuwa zake olevel anajiandaa na necta ya form 4...
Ngoja nikavute tena nakuja[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kuna Mtu juu huko kasema eti Mshana kwa uchawi huu akasome.. Nimecheka mno..Hivi boss Mshana Jr mbona huwezi kumkuta kwenye nyuzi kama hizi?
Au otifaki inazingatiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yashakukuta kiongozii ebu tupia story yko kidogo[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] Yan mkuu ukisema kuhusu kuchomwa na mvuke nacheka sana , hii kweli ni true story
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au na yeye zamu yake ya kuzimia imefika abadilike kuwa nguruwe???
Tusubirie azinduke
Nyumba hizo mi ndo naztafuta sana niogee.....Mkuu iko pande zip mana umaskini nmechoksSisi huku mtaani mkuu, Kuna nyumba IPO kama hyo. Kila mpangaji anaekuja hachukui hata week lazima akimbie yaani.. usiku kuna viboko utapigwa mpaka ushangae na sauti za watu wakilia, haya mambo ukimwambia mtu anaweza kubisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa mama mwenye nyumba anafanya fitnaNilikuwa naandika app hii inaniandikia
Opps access denied. The site your trying to reach is temporary down itakuwa kunashida kwa baadhi ya wanao tumia app
Imebidi nirudi huku kutumia sijui Google chrome
Ni wapi hukoMkuu wenyeji wa hapa wanasema taarifa wanazo na kila anaethubutu kuingia humo hukipata cha mtema kuni ikiwemo na kifo, mpango wa mwisho ilikuwa ni kuwatumia wanajeshi wakaichome moto kilichotokea ni simulizi yenye ukakasi. Kila mganga akiingia humo baada ya siku kadhaa ataumwa sana na kupoteza uhai. Ni nyumba iliyozungukwa na ile miti ya mazambarau.. halafu kutokana na watu kutokupakaribia kwa hiyo kuna kichaka kimeoteana hapo. Pako kama sehemu ya mizimu tu, kwa hiyo pamebaki hivyo hivyo
Daa pole sana wacha tuvumilie tu.Nilikuwa naandika app hii inaniandikia
Opps access denied. The site your trying to reach is temporary down itakuwa kunashida kwa baadhi ya wanao tumia app
Imebidi nirudi huku kutumia sijui Google chrome
Nani anawasha taa mkuu...!Ni kweli hata mtaani kwetu nyumba ya namna hiyo ipo, mwenyewe aliitelekeza akaweka mlinzi ili awe anaifanyia usafi lakini mlinzi hakumaliza hata mwezi akaondoka. Nyumba yenyewe ya kisasa ila imekua kama gofu vichaka vimeota hadi ndani, madirisha yalikua ya vioo ila vimeshapasuka, geti lake lipo wazi muda wote, yani limekua lijumba flani la kutisha.
Usiku taa zinawaka vizuri kwasababu umeme bado upo nadhani tanesco wanaogopa kwenda kuukata.
thank you so so much bbygirl The Happiness niliishiwa bundle huko niliko nikatamani nilie machozi nikawa namuwaza tu jooohs na rafiki yake Agustino87 😂 😂 😂 😂