Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Balaaa
 
Vip, kuhusu mama yako mzazi, maana nilipofikia kwenye story ya kutaka kuchuma ile mimea mara ukaona jeneza pembeni mzazi wako,sikuweza kuendelea mtandao ulikuwa unasumbua, vip nimzima kweli au ilikuwaje,
ushari: Bora umrudie Mungu,imalisha ibada atasamee dhambi zote ulotenda,
 
Kila kitu nimeeleza kwenye episodes zote mkuu jaribu kusoma hadi mwisho
 
hapa nimecheka sana mkuu naisubiri iendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…