Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Duh huu uzi niliusoma kitambo naona Bado ni shule kwa atakae usoma
Nami nausoma naona bado nishule,
Ila memba wa jf wanavsa na Mikasa si ajabu Kuna baadhi ya memba humu wana mapete ya Bahati mixer mvuto, pia Luanda Magere angeumaliza ule Uzi wake ingekuwa poa Sana
 
Halafu Huyo Pusha alikua bwana aangu tukaachana Hivyo alikua anajua ratiba zangu..
Sikh Hiyo akamwaga Mboga ..yaani yule jamaa natamani nikutane nae nimchane Ila sidhani kama nitamkumbuka...
Mh wewe nae Hpn umepambn sana dada bila shaka kwasasa hujaacha ila upo kwenye macocopulp,Betasol na extra clair?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Boss hii story imenivutia sana, naipataje tafadhali.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…