Hivi huko CDM mnajifunzaje propaganda za kishamba hivi ili mtudanganye?
Kwani kumpigia Nyalandu Ni kosa?au kumpigia Lissu Ni kosa?Watanzania ifike wakati tuache kujipumbaza,anauechagua rais Ni wa kupepeprusha bendera ya CHADEMA no mkutano mkuu utakaofanyika mwezi ujao ambapo wagombea wote watapata nafasi ya kujinadi mbele ya wajumbe.Sasa ninyi kinawatesa Nini?Sema wewe. Ninyi na Nani wakati wenzio wanampigia kura Nyarandu.?
Acha uongo basi. Kule kwetu hawamjui mbona.Kwani kumpigia Nyalandu Ni kosa?au kumpigia Lissu Ni kosa?Watanzania ifike wakati tuache kujipumbaza,anauechagua rais Ni wa kupepeprusha bendera ya CDM no mkutano mkuu utakaofanyika mwezi ujao ambapo wagombea wote watapata nafasi ya kujinadi mbele ya wajumbe.Sasa ninyi kinawatesa Nini?
Halafu kwa mtu ambaye hayupo nchini miaka 3 na bado anapata asilimia zote hizo bado huyo mtu anakubalika.Kwa mfano sasaivi Ni mtanzania gani aliye nje ya nchi anayeweza kupigiwa kura japo kwa video tu akawaridhisha watu?Hakuna zaidi ya Lissu,Kama Lissu asingeshambuliwa bila Shaka sasaivi CDM wagombea wote wangejitoa kumsapoti yeye.Lakini kwa kukaa mbali na taifa kwa muda mrefu lakini bado anakubalika so Jambo dogo hata kidogo
Kipimo cha kupendwa ni hiki.Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1
Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1
Amezidiwa kura ngapi?Hivi hawa the so called wajumbe ni nani aliyewaroga?
Kwakweli nimeshangaa sana Tundu Lissu kuzidiwa kura ndani ya CHADEMA? Sio fair kabisa, Huyu Mbowe tuanze kumtazama kwa jicho la tatu.
Utashangaa siku ya kufika Lissu nchini yeye atakuwa zake na viongozi wa CCM kwenye msiba wa Rais Mkapa.
Anarudi baada ya matibabu? Give me a break Men![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Wewe shabiki wa Membe hunisumbui akili, mtafute mwenzio aje na nyingine tena kama hii!.Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1
Ila tu tukumbule hata Dr. Slaa alitoka CCM!!!Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.
Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Kwani mlivyoona tayari kapiga machata kwenye Bus lake la kampeni mlikuwa mnafikiri nini
Vyovyote vile kura yangu kuliko kumpa mgombea wako Membe(Lowassa part 2) au Nyalandu(Special Mission) muda huo bora nikaangalie porno tu.Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1
Na baada ya Nyalandu kuja Chadema nao CCM ndipo wakaanza manunuzi rasmi ya viongozi wa Chadema.Nyalandu could be a deep undercover. Kuja chadema ilikua ni misheni ya watu wanaoiendesha nchi kimyakimya.
Maajabu ya demokrasia ya asiyeelewa(Rutashobokelwa) ya kuchapa fomu moja tu ya kugombea kuongoza vyombo vya dola!Maajabu ya Dunia ccm kufurahia demokrasia ya Chadema. Wakati mlishindwa hata kuwakaribisha kwenye ufunguzi wa jengo ya NEC , Uchaguzi house pale Dodoma
Aliyeumwa na nyoka! Once beaten twice shy! Akili ikiwepo na kutangulizwa mbele! Uzoefu wake unamnyima usingizi. Kuna maigizo mengi hapa nchini. Scriptless maigizo. Anzia Lamwai(r.i.p), Lowassa nyumbani kumenoga na mpuuzi juzi Nassari kutia nia huko alikoangukia pua. Vikaragosi ni wengi kuliko muda wa kuwajadili. Mwache atapike nyongo. Ikikaa ndani inaumiza!With all due respect, mkuu nikuulize ikitokea Lisu apate vikwazo vya kugombea then chadema ndio basi tena? Kingine nini maana ya demokrasia? Huwezi kulazimisha kitu hiyo sio demokrasia. Kingine Nyalandu deserves respect. Huyu alijivua ubunge na kuja chadema pasipo ku demand chochote. Very unfair ukimwita mwa ccm na uki doubt uaminifu wake.
ndo maanake!Jumatatu hii ya keshokutwa ?
Sio haumuamini Bali unamuogopa! Wanajua hawataweza kumdhibiti. Poor Mbowe CHADOMO inaenda kuzikwa October 28.Tunampenda Lissu, lakini bahati mbaya uongozi mkuu wa Chadema hauamini kuwa anafaa kuwa namba 1