Baada ya Nzige kutesa Kenya, wanaelezwa wapo Km 50 kufikia mpaka wa Tanzania na Kenya

Baada ya Nzige kutesa Kenya, wanaelezwa wapo Km 50 kufikia mpaka wa Tanzania na Kenya

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Afisa Kilimo wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Erick Kaaya amesema wamepokea taarifa kuwa Nzige wapo Kilometa 50 kutoka ulipo mpaka wa Kenya na Tanzania

Katika taarifa iliyotolewa na Afisa huyu wa Wilaya, amewaomba Wananchi watakapoona Wadudu jamii ya Panzi kutoa taarifa mapema kwenye Mamlaka ili ziwezw kufikishwa mahala husika

Nzige wamevia maeneo kadhaa nchini Kenya na katika nchi ya Ethiopia ambapo wadudu hao wameenea, uvamizi wake umetangazwa kama janga la Kitaifa
 
Kama siyo kivutio cha utalii basi tuyahamishie mpakani yale makabila ambayo kwao chiumbile mungu cha kumemena.
 
P
Hivi hao panzi huwa hawaliwi?

Kama hawaliwi na binadamu vipi hawawezi tumika kama chakula cha mifugo mfano kuku?
Project nzuri sana hii,ingawa inahitaji vipimo vya ubora kutoka maabara za TBS,kwa kuwa wakati mwingine wanaweza kubeba virus/bacteria wabaya kwa viumbe wengine.
Lakini pia ni vyema kujiridhisha iwapo nzige hao ni wa kutengeneza au ni wale wa asili.
 
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Erick Kaaya amesema wamepokea taarifa kuwa Nzige wapo Kilometa 50 kutoka ulipo mpaka wa Kenya na Tanzania

Katika taarifa iliyotolewa na Mkuu huyu wa Wilaya, amewaomba Wananchi watakapoona Wadudu jamii ya Panzi kutoa taarifa mapema kwenye Mamlaka ili ziwezw kufikishwa mahala husika

Nzige wamevia maeneo kadhaa nchini Kenya na katika nchi ya Ethiopia ambapo wadudu hao wameenea, uvamizi wake umetangazwa kama janga la Kitaifa
50km bado anataka taarifa gani?

Daah
 
Hawa wadudu watakuwa wanaliwa naona, maana yule jamaa yohana alikuwa kwa asali kipindi kile...

Mathayo 3: 4 Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
 
Hawa wadudu watakuwa wanaliwa naona, maana yule jamaa yohana alikuwa kwa asali kipindi kile...

Mathayo 3: 4 Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.


Hahaha
 
Ni muda muafaka wa Serikali kuwapa kazi kunguru weusi.

Wakamatwe kwa wingi hapa dar wakapandikizwe maeneo korofi kwa nzige.

Hata nzige wakiisha Basi kunguru waendelee kuishi maeneo hayo. Ili historia ikijirudia watoe hukumu Tena.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afisa Kilimo wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Erick Kaaya amesema wamepokea taarifa kuwa Nzige wapo Kilometa 50 kutoka ulipo mpaka wa Kenya na Tanzania

Katika taarifa iliyotolewa na Afisa huyu wa Wilaya, amewaomba Wananchi watakapoona Wadudu jamii ya Panzi kutoa taarifa mapema kwenye Mamlaka ili ziwezw kufikishwa mahala husika

Nzige wamevia maeneo kadhaa nchini Kenya na katika nchi ya Ethiopia ambapo wadudu hao wameenea, uvamizi wake umetangazwa kama janga la Kitaifa
Mkuu wa mkoa afunge mpaka ili wasiingie nchini mwetu. Hao wadudu ni wabaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutafutwe wadudu rafiki kwa mazao ila wanakula hao nzige wapelekwe uko wilaya ya mwanga wakale hao nzige
 
Hawa wadudu watakuwa wanaliwa naona, maana yule jamaa yohana alikuwa kwa asali kipindi kile...

Mathayo 3: 4 Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
1581268883259.png


karibu wali nzige
 
Hapo si kusubiri taarifa bali ni kuchukua hatua za kupambana nao na kuwadhibiti ili usiwe msiba kwa kilimo na kuleta tishio la baa la njaa siku za usoni.
 
Back
Top Bottom