Teh teh...Chuki za standard gaugeMh hit maker? Mtu hajui kuimba unamwita hit maker, halaf huyo Q boy sidhani hata kama ana shabiki yeyote bongo hii. Shabiki wake mkubwa kamtia mimba
Ujinga mwengine bana,kwahiyo hivi ndivyo "king kiba" alivyokutuma ???8
Ndgu zangu wana Jf, nawasalimu kwa jina la *Tanzania ya viwanda*,hit maker wa muga cherere mr Qboy msafi hivi karibuni aliondoka na kuachana kabsa na kundi la WCB na kuanza kufanya zake nje ya label hiyo.
Baada ya kundi hili kuona nyota ya Qboy msafi inawaka baada ya ku hit na ngoma kadhaa za hivi karibuni.
Mfano ngoma ya* Karerelo*.. Sasa wamtengeza zegwe,Ati katembea na student toka pale makao makuu Dodoma na kumpa mimba, hata binti kufikia hatua ya kusitisha masomo.
Hizi nifitina za Wazi kabsa zinazofanywa na management ya WCB kwa lengo kufitini kumgombanisha kwa mashabiki wake mr. QBOY Msafi baada ya kuona sasa hit sana.
Tuwapinge vikubwa.... Wcb wanamikakati ya ovyo sana.... Yakumtafutia mty matatizo. Hii inshu imepikwa baada ya mama wa dent kuachiwa misimbazi kadhaa...
Lengo wanataka kumpoteza Qboy maana simnajua sasa hivi kumpa mimba student ni hatari ilitangazwa na mh JPm ya kwenda jela miaka 30.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Jamani!Mh hit maker? Mtu hajui kuimba unamwita hit maker, halaf huyo Q boy sidhani hata kama ana shabiki yeyote bongo hii. Shabiki wake mkubwa kamtia mimba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mh hit maker? Mtu hajui kuimba unamwita hit maker, halaf huyo Q boy sidhani hata kama ana shabiki yeyote bongo hii. Shabiki wake mkubwa kamtia mimba
Ndugu yangu Hoffwoman umewahi bila kufanya uchunguzi.8
Ndgu zangu wana Jf, nawasalimu kwa jina la *Tanzania ya viwanda*,hit maker wa muga cherere mr Qboy msafi hivi karibuni aliondoka na kuachana kabsa na kundi la WCB na kuanza kufanya zake nje ya label hiyo.
Baada ya kundi hili kuona nyota ya Qboy msafi inawaka baada ya ku hit na ngoma kadhaa za hivi karibuni.
Mfano ngoma ya* Karerelo*.. Sasa wamtengeza zegwe,Ati katembea na student toka pale makao makuu Dodoma na kumpa mimba, hata binti kufikia hatua ya kusitisha masomo.
Hizi nifitina za Wazi kabsa zinazofanywa na management ya WCB kwa lengo kufitini kumgombanisha kwa mashabiki wake mr. QBOY Msafi baada ya kuona sasa hit sana.
Tuwapinge vikubwa.... Wcb wanamikakati ya ovyo sana.... Yakumtafutia mty matatizo. Hii inshu imepikwa baada ya mama wa dent kuachiwa misimbazi kadhaa...
Lengo wanataka kumpoteza Qboy maana simnajua sasa hivi kumpa mimba student ni hatari ilitangazwa na mh JPm ya kwenda jela miaka 30.