Baada ya Qboy Msafi kuwakimbia wasafi*wcb*hatimaye wamemuundia zengwe la kumpa mimba denti

Baada ya Qboy Msafi kuwakimbia wasafi*wcb*hatimaye wamemuundia zengwe la kumpa mimba denti

Jamaa mawenge huyo.alipelekwa ulaya akataka kuzamia.wakamchoma.

Sent from my MJINGAMIMI using JamiiForums mobile app
 
Mh hit maker? Mtu hajui kuimba unamwita hit maker, halaf huyo Q boy sidhani hata kama ana shabiki yeyote bongo hii. Shabiki wake mkubwa kamtia mimba
Teh teh...Chuki za standard gauge
 
8
d57a45e616f7e41aadb4d75b6a5201e1.jpg


Ndgu zangu wana Jf, nawasalimu kwa jina la *Tanzania ya viwanda*,hit maker wa muga cherere mr Qboy msafi hivi karibuni aliondoka na kuachana kabsa na kundi la WCB na kuanza kufanya zake nje ya label hiyo.

Baada ya kundi hili kuona nyota ya Qboy msafi inawaka baada ya ku hit na ngoma kadhaa za hivi karibuni.

Mfano ngoma ya* Karerelo*.. Sasa wamtengeza zegwe,Ati katembea na student toka pale makao makuu Dodoma na kumpa mimba, hata binti kufikia hatua ya kusitisha masomo.

Hizi nifitina za Wazi kabsa zinazofanywa na management ya WCB kwa lengo kufitini kumgombanisha kwa mashabiki wake mr. QBOY Msafi baada ya kuona sasa hit sana.

Tuwapinge vikubwa.... Wcb wanamikakati ya ovyo sana.... Yakumtafutia mty matatizo. Hii inshu imepikwa baada ya mama wa dent kuachiwa misimbazi kadhaa...

Lengo wanataka kumpoteza Qboy maana simnajua sasa hivi kumpa mimba student ni hatari ilitangazwa na mh JPm ya kwenda jela miaka 30.
Ujinga mwengine bana,kwahiyo hivi ndivyo "king kiba" alivyokutuma ???
 
mugacherechere imetungwa na rayvanny na diamond pia
karorero- imetungwa na lavalava

I think ukasikilize interview ya diamond alpoulizwa about him... Ila inshort jamaa wamembeba sana.. alitaka hadi kuzamia US.. kupitia name ya WCB

how bout' that?!?
 
Mh hit maker? Mtu hajui kuimba unamwita hit maker, halaf huyo Q boy sidhani hata kama ana shabiki yeyote bongo hii. Shabiki wake mkubwa kamtia mimba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Ana utovu wa nidhamu amepelekwa ughaibuni anataka kung'ang'ania hukohuko
 
8
d57a45e616f7e41aadb4d75b6a5201e1.jpg


Ndgu zangu wana Jf, nawasalimu kwa jina la *Tanzania ya viwanda*,hit maker wa muga cherere mr Qboy msafi hivi karibuni aliondoka na kuachana kabsa na kundi la WCB na kuanza kufanya zake nje ya label hiyo.

Baada ya kundi hili kuona nyota ya Qboy msafi inawaka baada ya ku hit na ngoma kadhaa za hivi karibuni.

Mfano ngoma ya* Karerelo*.. Sasa wamtengeza zegwe,Ati katembea na student toka pale makao makuu Dodoma na kumpa mimba, hata binti kufikia hatua ya kusitisha masomo.

Hizi nifitina za Wazi kabsa zinazofanywa na management ya WCB kwa lengo kufitini kumgombanisha kwa mashabiki wake mr. QBOY Msafi baada ya kuona sasa hit sana.

Tuwapinge vikubwa.... Wcb wanamikakati ya ovyo sana.... Yakumtafutia mty matatizo. Hii inshu imepikwa baada ya mama wa dent kuachiwa misimbazi kadhaa...

Lengo wanataka kumpoteza Qboy maana simnajua sasa hivi kumpa mimba student ni hatari ilitangazwa na mh JPm ya kwenda jela miaka 30.
Ndugu yangu Hoffwoman umewahi bila kufanya uchunguzi.
 
Frankly speaking siujui hata wimbo mmoja wa q boy nachojua aliiba gari ya zari akaenda kuuzia sura halafu WCB wamfanyie fitina ili wagundue nini? 30 jela na huyo dent hasomeshwi tena na magufuli
 
Back
Top Bottom