MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa miaka ya karibuni ukiwa Rais wa Tanzania na ukitaka ujihakikishie sana Kupendwa / Kukubalika na Wananchi anza Kuwapenda Vijana kisha njoo kwa Wasanii wa Muziki Kisha maliza na Wapenda Soka hasa wa Simba na Yanga.
Hata hivyo pamoja na kwamba Rais Samia alihudhuria Mechi ile ya Watani ila Jicho langu kama vile lilinionyesha kuwa Mama si mpenda Michezo (hasa Soka) kwani muda mwingi alikuwa akionekana Kuzubaa zubaa huku akiitesa Shingo yake kwa Kuangalia upande wa Kushoto wa Simba na ule wa Kulia wa Yanga.
Rais Samia alionekana kama vile kutokujua lolote na kuwa Mgeni katika Mpira wa Miguu kwani mara nyingi kuna Njemba Moja hivi (nadhani ya PSU) ilikuwa imekaa Kulia Kwake ndiyo ilikuwa ikimuelezea Mama yale Matukio ya pale Lupaso (Mkapa) Stadium na Mama (Rais) kuonekana akitikisa tu Kichwa chake na Barakoa yake nzuri isiyoambukiza Corona popote pale
Kitu pekee tu ambacho Rais Samia juzi alinifurahisha Binafsi ni kuonyesha Yeye ni Mshabiki wa Timu ipi kwani hata wakati Simba anafungwa Goli la Mazabe (Bahati Nasibu) hakufurahi au hata Kuonyesha Kushtuka kama ambavyo ingekuwa kwa Rais Mstaafu Kikwete.
Na hata wakati Mama anasimama ili kutoka Uwanjani alionekana Kuchukia na Matokeo mpaka alipoombwa Kuupungia upande wa Waliobahatisha Ushindi ambapo aliwapungia kwa Shingo upande tu huku Moyoni mwake na katika Mdomo wake uliokuwa umefunikwa na Barakoa akiwazomea tu Walioshinda na akiwaonya na kuwaonea Huruma kwa Kipigo Kitakatifu ambao Walioshinda wanaenda kukutana nacho huko Mkoani Kigoma tarehe 25 July, 2021.
Mwanaume huwa hatairiwi mara Mbili.
Hata hivyo pamoja na kwamba Rais Samia alihudhuria Mechi ile ya Watani ila Jicho langu kama vile lilinionyesha kuwa Mama si mpenda Michezo (hasa Soka) kwani muda mwingi alikuwa akionekana Kuzubaa zubaa huku akiitesa Shingo yake kwa Kuangalia upande wa Kushoto wa Simba na ule wa Kulia wa Yanga.
Rais Samia alionekana kama vile kutokujua lolote na kuwa Mgeni katika Mpira wa Miguu kwani mara nyingi kuna Njemba Moja hivi (nadhani ya PSU) ilikuwa imekaa Kulia Kwake ndiyo ilikuwa ikimuelezea Mama yale Matukio ya pale Lupaso (Mkapa) Stadium na Mama (Rais) kuonekana akitikisa tu Kichwa chake na Barakoa yake nzuri isiyoambukiza Corona popote pale
Kitu pekee tu ambacho Rais Samia juzi alinifurahisha Binafsi ni kuonyesha Yeye ni Mshabiki wa Timu ipi kwani hata wakati Simba anafungwa Goli la Mazabe (Bahati Nasibu) hakufurahi au hata Kuonyesha Kushtuka kama ambavyo ingekuwa kwa Rais Mstaafu Kikwete.
Na hata wakati Mama anasimama ili kutoka Uwanjani alionekana Kuchukia na Matokeo mpaka alipoombwa Kuupungia upande wa Waliobahatisha Ushindi ambapo aliwapungia kwa Shingo upande tu huku Moyoni mwake na katika Mdomo wake uliokuwa umefunikwa na Barakoa akiwazomea tu Walioshinda na akiwaonya na kuwaonea Huruma kwa Kipigo Kitakatifu ambao Walioshinda wanaenda kukutana nacho huko Mkoani Kigoma tarehe 25 July, 2021.
Mwanaume huwa hatairiwi mara Mbili.