Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Baada ya Rais Samia kupitishwa na wajumbe wa Ccm kuwa mgombea Urais 2025 ambapo kimsingi walifanya maamuzi ayo bila kufata katiba ya Ccm Kwa Kuwa Mgombea aliyepitushwa kwa mijibu wa katiba ya Ccm alitakiwa kuchukua fomu ya kugombea kisha vikao vimjadili na kupitisha jina lake, mtindio huu pia unataka kutumiwa na Baadhi ya wabunge kujipatia ubunge kwa kuwa wagombea bila kuchukua fomu na kupitishwa kuwa wagombea pekee
kwa sasa majimboni kumekuwa kwa moto wagombea wakipishana kujitambulisha, uku baadhi ya wanachama wa ccm waksema mwaka huu awataki wagombe wa vikaratasi na maelekzo kutoka juuu
Wabunge waliopo madarakani kwa kushirikiana na Makatibu wa Ccm wilaya na Mikoa wanajiandaa kuandaa mikutano mikuu ya Jimbo kupitisha uamuzi huu wa kupitisha wabunge bila mchakato ndani ya ccm , Mpango huu unawaweka pembeni Wenyeviti wa Wilaya na Ccm kwa kuwa wengi wao wanawagombea tayari
Makatibu wa Ccm wanafanya uchawa kwa malengo ya kupata teuzi kutoka kwa Rais Samia, na mpango huu ni wa Rais samia ili kulipa fadhara kwa wabunge ambao ndio waliendesha kampeni za chini kwenye mkutano mkuu kuwa apitushwe mapema...
Pia soma:
~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!
~ Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho
kwa sasa majimboni kumekuwa kwa moto wagombea wakipishana kujitambulisha, uku baadhi ya wanachama wa ccm waksema mwaka huu awataki wagombe wa vikaratasi na maelekzo kutoka juuu
Wabunge waliopo madarakani kwa kushirikiana na Makatibu wa Ccm wilaya na Mikoa wanajiandaa kuandaa mikutano mikuu ya Jimbo kupitisha uamuzi huu wa kupitisha wabunge bila mchakato ndani ya ccm , Mpango huu unawaweka pembeni Wenyeviti wa Wilaya na Ccm kwa kuwa wengi wao wanawagombea tayari
Makatibu wa Ccm wanafanya uchawa kwa malengo ya kupata teuzi kutoka kwa Rais Samia, na mpango huu ni wa Rais samia ili kulipa fadhara kwa wabunge ambao ndio waliendesha kampeni za chini kwenye mkutano mkuu kuwa apitushwe mapema...
Pia soma:
~ Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!
~ Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho