Ndo Africa hiyo ndugu hapo hata kocha anajiona Hana mamlaka star kamzidi nguvu.Afrika kila kitu lazima siasa iwemo ndani.
Mfano leo hii eti Bocco astaafu halafu Ngosha aingilie kati na kuishambulia TFF na baadae Bocco anabatilisha uamuzi wake na kurejea timu ya taifa.
Mpira wa bara letu bado una safari ndefu sana katika kile kinachoitwa mafanikio.
Ndo huyu huyu jamaa anatabia za kususa Susa alivyokuja ile penati na Uruguay alisema hata piga Tena penati timu ya taifaHuyu Gyan ndio yule aliyekosa penati ya muhimu kwenye kombe la dunia 2010? Ilikuwa fursa ya Ghana na Afrika kutinga nusu fainali! Angeachwa tu astaafu........
...siyo Afrika mkuu tu haya hutokea inaonekana hufatilii habari za mpirà kwa taarifa yako Tu Messi pia alishatangaza kustaafu kucheza NT baada kupoteza failnali mbele ya Chile nabaadae Rais alimuita pamoja na chama cha soka cha Argentina na Messi akarudi uwanjani...Afrika kila kitu lazima siasa iwemo ndani.
Mfano leo hii eti Bocco astaafu halafu Ngosha aingilie kati na kuishambulia TFF na baadae Bocco anabatilisha uamuzi wake na kurejea timu ya taifa.
Mpira wa bara letu bado una safari ndefu sana katika kile kinachoitwa mafanikio.
Ni Scorali pekee alimgomea Rais wa Brazil kumuita Romario mwaka 2002 na Brazil kubeba ndoo...siyo Afrika mkuu tu haya hutokea inaonekana hufatilii habari za mpirà kwa taarifa yako Tu Messi pia alishatangaza kustaafu kucheza NT baada kupoteza failnali mbele ya Chile nabaadae Rais alimuita pamoja na chama cha soka cha Argentina na Messi akarudi uwanjani...
Afrika kila kitu lazima siasa iwemo ndani.
Mfano leo hii eti Bocco astaafu halafu Ngosha aingilie kati na kuishambulia TFF na baadae Bocco anabatilisha uamuzi wake na kurejea timu ya taifa.
Mpira wa bara letu bado una safari ndefu sana katika kile kinachoitwa mafanikio.