brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mara baada ya kuibuka taarifa ya kupokwa unahodha wa timu ya Taifa ya Ghana Assamoh Gyan alitangaza kutangaza kuchezea timu ya Taifa kuelekea AFCON 2019 nchini Misri.
Taarifa hizo zilimuibua Rais wa Ghana Nana Addo Akuffo na kumuita kwenye kikao Cha dharura kocha wa timu ya Taifa ya Ghana Kwessi Appiah na kuzungumza nae pia akamuita Gyan kuzungumza nae.
Vikao hivo vimezaa matunda na Sasa Gyan amebatilisha uamuzi wa kustaafu Mara baada ya kurudishiwa unahodha wake kwa msaada wa Rais.
Gyan mwenye miaka 33 anaecheza kwenye falme za kiarabu kwa Sasa ndio mfungaji bora wa Ghana
Taarifa hizo zilimuibua Rais wa Ghana Nana Addo Akuffo na kumuita kwenye kikao Cha dharura kocha wa timu ya Taifa ya Ghana Kwessi Appiah na kuzungumza nae pia akamuita Gyan kuzungumza nae.
Vikao hivo vimezaa matunda na Sasa Gyan amebatilisha uamuzi wa kustaafu Mara baada ya kurudishiwa unahodha wake kwa msaada wa Rais.
Gyan mwenye miaka 33 anaecheza kwenye falme za kiarabu kwa Sasa ndio mfungaji bora wa Ghana