Baada ya Real Madrid kufuzu Fainali jana! Je, atakipiga na nani, Roma au Liverpool?

Baada ya Real Madrid kufuzu Fainali jana! Je, atakipiga na nani, Roma au Liverpool?

Halla Madrid.

Yaani Madrid kumtoa PSG, juve na Bayen si mchezo, hizo zote ni timu zilizo katika kiwango cha juu kabisa sioni Liverpool akipona kupata kibano cha tatu bila majibu maana wana kiwango cha kawaida ukiwalinganisha na hiyo miamba iliyotolewa na Madrid.
Mkuu si rahis sana kulinganisha petrol na diseal, nahisi unaujua moto wa petrol, ndvyo ilivyo liverpool kwa sasa,

Hao rome wanakamilisha ratiba, wanaweza kupindua matokeo wakiwa na bac, ila si na riverpool, never ever, yaan ni sawa na maji kupandisha mlima, ni jambo gumu japo linawezekana...
 
Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.

Sawa, tusubiri fainali mkuu.
 
Liver alivombovuu anaingia kishindana na timu ya wanaume kama madrid,,,, ivii jaman mliona ilee kasi ya madrid na buyern afuuu leo hii mnataka liver ambaye kapita panyalroad mpaka final et ampige madrid,,,,,, kwanza kabisa liver ninamsikitikia kama atafika final, ,,,magori atakayo kula,,, hakutaonekana kama final, ,,,atakula gor za kutosha
 
Nasikia Real Madrid wanaitwa CCM YA ULAYA maana sio kwa kubebwa kule
 
Mashabiki wa Liverpool msiwaze fainali wakati game bado, tusubiri leo mfuzu ndo tuanze kuongelea ya Kiev, msijipe matumain Kiivyo.
 
Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.
Mkuu naomba nikukumbushe mwaka Jana Juventus alifika fainali huku akiwa ameruhusu magoli ma3 tu kuanzia hatua ya makundi na hakuna hata mechi moja aliyopoteza lkn alipgwa 4-1 fainali. Liverpool mpaka sasa ameruhusu zaidi ya mabao 9.
Nakubaliana na wewe kwamba Liverpool ni wazuri sana lkn fainali ni fainali tu, timu yoyote inaweza kupata ushindi.
 
Real Bingwa uefa

fainali ni Madrid vs Liver

roma asifikiri leo liva atafanya umama kama wa barca..
 
Ronaldo kashakua mhenga, mbinu aliyobaki nayo ni ya kujiangusha angusha tu.
Mpaka buffon alimkubali!!
tapatalk_1522833284291.jpeg
 
ROMA.....watacharuka leo kwao na kuhaha uwanja nzima goli 3 tu wametinga kwenye UEFA Finals

Klabu ya soka ya Real Madrid imefuzu kucheza fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya goli 2-2 na klabu ya Bayern Munchen

View attachment 763133

Kwa matokeo haya pamoja na matokeo ya mchezo wa kwanza(Real Madrid 2-1 Bayern Munchen), Madrid inasonga mbele kwa jumla ya magoli 4-3

Katika mchezo wa jana Bayern ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa J. Kimmich(3') kabla ya K. Benzema kusawazisha na kufunga tena goli la pili(11' na 46'). Goli la pili la Bayern lilifungwa na J. Rodriguez(63')

Madrid sasa nasubiri kuona atakutana na nani fainali kati ya AS Roma na Liverpool huku Liverpool akiwa na faida ya goli 5-2 alizopata katika mchezo wa kwanza

View attachment 763132

Hii ni fainali ya tatu mfulizo Real Madrid inaingia huku ikiwa imeshachukua kombe kwenye fainali zote mbili za nyuma

Je, mpenzi wa soka unadhani Liverpool atafanikiwa kucheza fainali au Roma itapindua matokeo?
 
Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.
Heheheee.. Hii inanikumbusha fainali iliyopita na Juve. Story zilikua Juve ana ukuta mgumu, kafungwa goli 4 tu hadi anafika final. Matokeo yake akaongezwa 4 nyingine. Still Madrid alionekana kua na ukuta mbovu. Same applied kwa game ya PSG msimu huu, mlitegemea mvua ya magoli apigwe Madrid.
 
Mkuu si rahis sana kulinganisha petrol na diseal, nahisi unaujua moto wa petrol, ndvyo ilivyo liverpool kwa sasa,

Hao rome wanakamilisha ratiba, wanaweza kupindua matokeo wakiwa na bac, ila si na riverpool, never ever, yaan ni sawa na maji kupandisha mlima, ni jambo gumu japo linawezekana...

Time ndio inasogea wacha tuone.
 
Back
Top Bottom