Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Mkuu si rahis sana kulinganisha petrol na diseal, nahisi unaujua moto wa petrol, ndvyo ilivyo liverpool kwa sasa,Halla Madrid.
Yaani Madrid kumtoa PSG, juve na Bayen si mchezo, hizo zote ni timu zilizo katika kiwango cha juu kabisa sioni Liverpool akipona kupata kibano cha tatu bila majibu maana wana kiwango cha kawaida ukiwalinganisha na hiyo miamba iliyotolewa na Madrid.
Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.
CCM YA ULAYATatizo madrid wanabebwa saaaanaaa
Mkuu naomba nikukumbushe mwaka Jana Juventus alifika fainali huku akiwa ameruhusu magoli ma3 tu kuanzia hatua ya makundi na hakuna hata mechi moja aliyopoteza lkn alipgwa 4-1 fainali. Liverpool mpaka sasa ameruhusu zaidi ya mabao 9.Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.
Mpaka buffon alimkubali!!Ronaldo kashakua mhenga, mbinu aliyobaki nayo ni ya kujiangusha angusha tu.
Klabu ya soka ya Real Madrid imefuzu kucheza fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya goli 2-2 na klabu ya Bayern Munchen
View attachment 763133
Kwa matokeo haya pamoja na matokeo ya mchezo wa kwanza(Real Madrid 2-1 Bayern Munchen), Madrid inasonga mbele kwa jumla ya magoli 4-3
Katika mchezo wa jana Bayern ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa J. Kimmich(3') kabla ya K. Benzema kusawazisha na kufunga tena goli la pili(11' na 46'). Goli la pili la Bayern lilifungwa na J. Rodriguez(63')
Madrid sasa nasubiri kuona atakutana na nani fainali kati ya AS Roma na Liverpool huku Liverpool akiwa na faida ya goli 5-2 alizopata katika mchezo wa kwanza
View attachment 763132
Hii ni fainali ya tatu mfulizo Real Madrid inaingia huku ikiwa imeshachukua kombe kwenye fainali zote mbili za nyuma
Je, mpenzi wa soka unadhani Liverpool atafanikiwa kucheza fainali au Roma itapindua matokeo?
kumkubali nini?Mpaka buffon alimkubali!! View attachment 763719
mi ndo nawaambia hivyo, msimchukulie poa, na ukizingatia huyo sallah mwenyewe ni kijana wao waliomlea wenyewe.ROMA.....watacharuka leo kwao na kuhaha uwanja nzima goli 3 tu wametinga kwenye UEFA Finals
na wew ukumbuk madrid wana ronaldo
Heheheee.. Hii inanikumbusha fainali iliyopita na Juve. Story zilikua Juve ana ukuta mgumu, kafungwa goli 4 tu hadi anafika final. Matokeo yake akaongezwa 4 nyingine. Still Madrid alionekana kua na ukuta mbovu. Same applied kwa game ya PSG msimu huu, mlitegemea mvua ya magoli apigwe Madrid.Mkuu Liverpool kamchapa man city,champion wa uingereza,kamchapa sevilla aliyemtoa man u,mchezo wa Mpira sio kama ugomvi wa majogoo kwamba kuna jogoo moja linapiga banda nzima,kumnuka fainali inapigwa mechi moja tu hakunancha home and away,and to keep you informed,Liverpool ndo timu pekee kwenye champions league ambayo haijafungwa mpaka sasa,na Liverpool ndo timu aliyofunga magoli mengine mpaka sasa.
Mkuu si rahis sana kulinganisha petrol na diseal, nahisi unaujua moto wa petrol, ndvyo ilivyo liverpool kwa sasa,
Hao rome wanakamilisha ratiba, wanaweza kupindua matokeo wakiwa na bac, ila si na riverpool, never ever, yaan ni sawa na maji kupandisha mlima, ni jambo gumu japo linawezekana...
Hivi madrid na barca nani bora?kama barca ni bora basi liva wamemtoa kiboko ya barca kama madrid ni bora basi tusubiri jumapili tupate jibuDozi iko pale pale, sio Roma wala Liver.