Baada ya Rich Mavoko na Laizer sasa ni zamu ya Harmonize kutoka WCB

Mgogoro wao umefikia patamu sana sasa hivi ambapo kuna kampuni ya Nigeria inataka sasa kumchukua Harmonize maana dau lao ni 10x la sasa

Mondi amejaaa Harmo amesema amechoka kunyonywa na ndo maana hata sasa kwenye mambo ya WCB haonekani
Source plz??
 
Ni wakati sahihi wa.yeye kuondoka la sivyo akishuka wakati bado yupo wasafi atatupiwa virago kama mbwa!
 
We mtuu wawapi?? Huna lakusema wew unaongea tu utumbo kwa iyi apa Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…