Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema mapya, eti Kigwangala kapata wapi taarifa kuwa ni mtumba?Yani Kadogosa anaulizwa na Azam tv yale mabehewa mapya au ya zamani,amejibu km anachambua kitabu alafu ameshindwa kusema km mapya au ya zamani.
Kwenye Azam sikusikiia km kasema mapya, nimeona tuu essay ndefu tuu.Kasema mapya, eti Kigwangala kapata wapi taarifa kuwa ni mtumba?
Cha kushangaza, Samia mwenyewe kasema ni mtumba!
Sasa kupuliza miluzi mingi namna hii wanataka kumchanganya mbwa gani?
Masanja kugongewa mke wake tena na mhasibu.Tumezoea kuona jambo gumu linapowakabili viongozi wetu, huwa kunatokea jambo lingine la kufuta sintofahamu iliyopo na watu kuhamia kwingine.
Unafikiri ni jambo gani au kituko gani kitaletwa kufuta fukuto hili la mabehewa?
Ndiyo maana kashindwa kujieleza?Masanja kugongewa mke wake tena na mhasibu.
Kituko cha wale ma ustadh wa michongo kumsafisha nabii, hata hivyo hakija trendTumezoea kuona jambo gumu linapowakabili viongozi wetu, huwa kunatokea jambo lingine la kufuta sintofahamu iliyopo na watu kuhamia kwingine.
Unafikiri ni jambo gani au kituko gani kitaletwa kufuta fukuto hili la mabehewa?
Wale nao manina kweli ma Ostadhi ubwabwa wakubwa.Kituko cha wale ma ustadh wa michongo kumsafisha nabii, hata hivyo hakija trend
Ha ha ha ha[emoji23]Wale nao manina kweli ma Ostadhi ubwabwa wakubwa.
Kiongozi wako amesema ni used wewe unakuja ni mapya, sijui wanatuonajeKasema mapya, eti Kigwangala kapata wapi taarifa kuwa ni mtumba?
Cha kushangaza, Samia mwenyewe kasema ni mtumba!
Sasa kupuliza miluzi mingi namna hii wanataka kumchanganya mbwa gani?