Baada ya sakata la mabehewa kushika kasi, kipi kinakuja kufuta hili fukuto?

Tumezoea kuona jambo gumu linapowakabili viongozi wetu, huwa kunatokea jambo lingine la kufuta sintofahamu iliyopo na watu kuhamia kwingine.

Unafikiri ni jambo gani au kituko gani kitaletwa kufuta fukuto hili la mabehewa?
Mabwawa kujaa maji na hivyo kusitisha mgao wa umemes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…