Baada ya Samia Kutembelea Uarabuni, Wamasai wameanza kufukuzwa kwenye Malalio yao

Baada ya Samia Kutembelea Uarabuni, Wamasai wameanza kufukuzwa kwenye Malalio yao

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Kuna Uhusiano gani wa rais Samia kutembelea Uarabuni na Operation ya kuweka Mipaka Loliondo? Miezi mitatu baada ya Samia kwenda Uarabuni, mipaka imeanza kuwekwa Loliondo. Pia Wamasai wametakiwa kuhamia Tanga kwa hiari

Hivi Karibi Rais anaenda tena Uarabuni. Nini tutegemee?

Inadaiwa Loliondo kuna madini.
tumblr_nj4w62IrzU1tlq3koo1_640.jpg
tumblr_nithosiE3s1tlq3koo1_640.jpg
tumblr_niqmz1Jjub1tlq3koo1_640.jpg
tumblr_inline_nttxg8rGqc1t0x7x2_540.jpg
a94ee5a24eae15260912e3ab92d5b938.jpg
122b079e9de84aeee8dc037d21201b5f.jpg
e8aee015-fc26-4be1-8989-1f43acbd2422_16x9_600x338.JPG
 
Kitalu kinachomilikiwa na OBC ("WAARABU) kilitolewa enzi ya rais Mwinyi na wote waliofuta urais hawakuwa na pingamizi seuze Samia?
Samia alizungumzia uwepo wa uhifadhi wa ushirobo,mazalia na vyanzo vya maji Ngorongoro na Loliondo alipohutubia bunge mara ya kwanza kabla hajaenda ziara yoyote
Punguza mihemko ya kisukumagang tafuta sababu nyingine
 
Back
Top Bottom