Kitalu kinachomilikiwa na OBC ("WAARABU) kilitolewa enzi ya rais Mwinyi na wote waliofuta urais hawakuwa na pingamizi seuze Samia?
Samia alizungumzia uwepo wa uhifadhi wa ushirobo,mazalia na vyanzo vya maji Ngorongoro na Loliondo alipohutubia bunge mara ya kwanza kabla hajaenda ziara yoyote
Punguza mihemko ya kisukumagang tafuta sababu nyingine