Baada ya Sauti ya Wakatoliki kunena kiume jana, kuanzia leo wasianze Kutishwa na Wanasiasa kwani yatawakuta zaidi ya Corona

Waache waandelee kuota ndoto, hakuna anayewazuia.
 
Wasted sperm...
 
Mimi kama Askofu Mkuu wa kanisa langu la chumvi,mafuta na vitambaa vya mkononi tunapinga kwa nguvu zote kwamba Tanzania hakuna Corona wala Covid bali changamoto za kupumua na mafua makali.
 
Kwa hiyo kumiliki guest house ndo umeona dhambi, kuna dhambi gani kuweka huduma ya malazi kwa wageni! mbona hili jukwaa limejaa vilaza siku hizi? tunaomba mods. watuwekee jukwaa la watu wenye serious minds kwa kuzingatia michango tunayotoa humu kuliko kukutana na upupu kama huu, inakatisha tamaa kwa kweli...
 
Waoga wa kifo wanawezaje kunena kiume? Anayenena kiume ni Magufuli, ameikataa barakoa na kaikataa kwa vitendo, na kaendelea kusimamia anachokiamini.
 
Haya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Hakuna kwenda Hija bila kuchanjwa.. Subiri BAKWATA...duniani huwezi kujiamulia unavyotaka..
Ni kweli jamani.rais mpendwa umetufanyia mengi sana mazuri na bado unaendelea tunakuomba kwa unyenyekevu uruhusu chanjo(vaccine)ziingizwe nchini na kama kuna mahospitali binafsi uyaruhusu,yaingize na yalipe kodi kwani maadui zetu wengi.sisi waislamu kutoka tanzania hatutoruhusiwa kwenda kuhiji na wewe ni mtu wa mungu na hilo kwetu ni nguzo ya 5 kwa mwenye uwezo kwenda kuhiji kufuta madhambi.hata wenzetu wakatoliki vatican walitoa tamko la pope mtakatifu kutoa tamko kupitia vyombo mbalimbali vya habari,nami nilibahatika kuisoma kupitia gazeti la new york times kuwa atafurahi kuona nchi zote duniani hasa za afrika zikipata chanjo.tusikilize kilio chetu baba.
 
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani (ulimwenguni)
Hapa wamaanisha Roma hukooo Italy
Nawaonya (Namuonya) huyo (huyu) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga
Ungemtaja ili wakati wa uchaguzi tusipoteze muda wa kumuekea tiki kwenye karatasi
 
Mkuu wa nchi anasema toeni hofu, padre analeta hofu, ni uuuungwana?
 
Hapana, hata Elimu na huduma ya afya wanayotoa sio free. Ni biashara kama biashara nyingine
my point is, kuna kondoo wengi tu wanazagaa mtaani hawana mchungaji! they should focus on that, kuwalisha, mavazi na malazi hilo ni jukumu letu sisi waamini! but wameacha hayo yote wanafanya biashara saivi
 
akili yako imeishia kwenye guest house tu??? wewe ni kipofu wa kiakili na kiimani pia! akili za kuambiwa changanya na zako, huko kanisani wanawafundisha ujinga mtupu, na hawawezi kuwaambia ukweli hata siku moja
 
Nakubaliana na maelezo yako yote lakini umejichanganya tangu mwanzo kuhusu shida ni nini. Kanisa halijaipinga serkali wala kuitaka ifanye kitu fulani isifanye. Linachosema ni kuongeza tough kwenye yaleyale iliyosema Serkali. Katibu Mkuu wa TEC amesisitiza mara alfu kuwa Watanzania tutii maneno aliyosema Dr Gwajima kwa niaba ya Serkali akiwa ni Waziri wa Fedha mwenye mamlaka ya kutoa matamko ya maafa ya kiafya.

Hakuna hata kimoja alichoikosoa Serkali zaidi ya kusema iseme kuwa Covid ipo, kwani kuna mtu kasema haipo? Kama wakisema haipo kumbe ipo si ni yale yale mtu kujichenga? Wakatoliki wanasema kuna Mungu Wapagani wanasema hakuna Mungu, mbona haijawa ni issue? Wewe mwabudu Mungu wangu mie naabudu mizimu yangu.

The only thing ambayo serkali I atakuwa kufanya - lakini imekataa kufanya - ni kuweka lockdown au kuwapiga watu barabarani au kuwarusha kichuea kama Kenya - ukIkutwa huna koroboa. Tulitumia style hii TYL miaka ya 60 mwishoni kuwazomea wasichana wenye miniskirts na wavulana wenye mitepesho, waliacha. Serkali ikitangaza lockdown leo WHO na mabeberu watafurahi lakini nchi yetu itaangamia, na wa kuingamiza ni hawohawo wapinzani waliokuwacdiscredited kwenye uchaguzi uliopita. Kumbuka tundulissu ni Mkatoliki na kstembea nchi nzima hakuwahi kuvaa koraboa.

Padri kataja warala wa Law Society, hakuna mshiko. Kwa vile TLS ni chama cha tundulissu na fatmakarune nobody will take them seriously and they know it. Kuna mtu kazuia barakoa? No. Kuna mtu anasema usinawe mikono? No. Hii ya kutangaza vifo ni common sense ni siri ya Doctor na patient, hatuitaki. Kama ni hivyo watangazwe pia mapadri na Lawyers waliokufa kwa cancer na ukimwi. Ukisema itakusaidia nini? Taharuki ya nini?

Kwa kumalizia, naungana mkono na TEC: kila mtu azingatie kanuni za kuzuia Covid alizotoa Waziri wa Afya na Marehemu Shariff Hamad.
 
Tulimtumia Mungu Kama Kinga ya kujitoa ufahamu wetu na kuwatoa ufahamu wanyonge wa nchi hii
 
Maboksi na Majeneza ya kusafirishia maiti bei imekuwa maradufu kwa hali inavyoelekea watu watazikwa maeneo wanayofia kama ilivyokuwa 1919 influenza pandemic
 
Muulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!
Muulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!
Safi sana Ndugu. Waambie wacheze na Makanisa yote ila siyo Roman Catholic kwani wanaweza yawakuta Makubwa na wasiamini. Nimewaonya vizuri sasa Kazi Kwao kunisikia na Kutafakari kwa Kina.
 
Heko ( Kongole ) Ndugu. Umeelezea vizuri kabisa na Umemmaliza kila Kitu sasa wenye Viburi, Upumbavu na Ushamba acha waendelee tu Kucheza makidamakida na Kanisa Katoliki ndipo watawajua vizuri.
 




Can brainless like You understand Brainiac me?
 
Mm nafikiri kwenye Hilo la kumiliki maguest house na ma hall makubwa walimwe tu kodi hapo singida social club tra waini chapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…