komeka
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 1,072
- 403
Ile tabia ya serikali kuunga mkono michezo pale tu wanapoona dalili za mafanikio imedhihirika hapo jana baada ya waziri nape kujitokeza na kuahidi kuipeleka kambi nchi za nje. Kumbuka timu hii imeanza kuandaliwa karibia miaka miwili iliyopita bila msaada wowote Wa serikali Sasa Leo ikiwa imebaki mechi moja ili wafuzu ndyo serikal inaibuka ,tabia hii imekuwa sugu kwa serikali hawajal kabisa linapokuja suala la maandalizi ya timu za taifa Ila kunapokuwa na mafanikio wao ndyo Wa kwanza kujitokeza