Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Useless!!! Eti kuna jamaa anabwabwaja anapigana na rushwa wakati mwenyewe anashiriki kununua madiwani
 
Kumbu kumbu zangu zinaniambia kuwa waliokuwa wakiibua shutuma za ufisadi wa Nyalandu ni upinzani....haswa masuala ya vitalu......
Sio kumbukumbu zako tu. Jamiiforum imejaa records hizo za wapinzani dhidi ya Lazaro Nyalandu. Tusitegemee kamwe mabadiliko ya maana katika siasa za kitanzania. Mtu yeyote mwenye tuhuma za ufisadi akiwa CCM, akiona upepo mbaya kwake anakimbiia CHADEMA na huko atasafishwa na tuhuma dhidi yake kuzikwa. Ni afadhalli mara miamoja CCM waendelee kutawala maana tunawajua na wakigombana wanaumbuana na kufukuzana kuliko wapinzani fake, waongo na uchwara.
 
Kukimbia huko amehama nchi?.... Kama ana kosa kisheria huko alikohamia hawezi kushughulikiwa?... Alipokuwa CCM hayo hayakuwa makosa mpaka baada ya kuhama?...
Kazi mnayo, wataondoka wengi tu, anza kuorodhesha makosa yao kabisa.
 
Nitasikitika kuona Mtu Mkubwa akiwa na madhambi yanakuwa Siri akiwa Ndani ya CCM,Na Wana CCM tukiwa tunajua vema ama tukiwa na or evidence hatuzitoi ! Akituhama tu ndipo tunasema sana kwanini unafiki huu?Ni waombe wana CCM Tusifiche madhambi ya Watu bila kujali ni Wa CCM au la Tufuate Nyayo za M\kiti Wetu wa Taifa CCM tutumbuane bila kujali nyadhifa zetu jifunzeni kwangu najitolea mfano na nitazidi kuwa hivyo, kuna ujambazi ulitokea 2015April20 kaya 19 tulivamiwa kwa Bahati njema kaya yangu ilikuwa ya Mwisho kuvamiwa siku hiyo nilibahatika kutambua Mmoja mwa Majambazi nilitoa Taarifa Police wakafanya Uchanguzi wao hadi kesi Mahakama ya Wilaya nikawa Shahidi wa kwanza Mhimu kutoa ushahidi Jambazi huyo alipondua kuwa ataenda jela alijitahidi kuwatumia Viongozi wa CCM Wamsaidie kuzima kesi ikiwa ngumu hadi alikubali kuomba msamaha kwa kuwa sikuwa fahamu wenzie nilikubali Wazee 6 walishiriki kusululuhisha bada ya kusikia pande zote Wajomba zake walimuamua anilipe Tsh 500,000/= cash alikubali akalipa na kusainiana barua za Msamaha alioomba Nasikitika ilitafutwa mbinu ya kumbeba na kumpa Uongozi Ndani ya Chama CCM ingawa Nami ni CCM ila msimamo Wangu unajulikana Wala sita sema ubaya wa Mtu pale anapohama na kwenda upande fulani Ebu tufunguke tuwaseme wa baya bila kujali wana nyadhifa gani? Jamani tufunguke
 
Vipi kuhusu vichwa vya treni?

Au ufisadi ule mlio udhibitisha mbele ya vyombo vya habari,fisadi lake mmelisahau?

DOUBLE STANDARDS
 
Kinacho tushangaza ni kwa nini hamkushughulikia kwa hii miaka yenu miwili ya hapa kasi tuu
Hata lowasa mlisema hivo hivo!
Swali la msingi aliyewatuhumu kuwa ni wafisadi ni CHADEMA wenyewe au mnajitoa ufahamu?
 
Yan mpk mtu ahame ndio maovu yake yanaonekana, mimi sio mwendawazimu wa kufuata siasa za ushabiki km simba na yanga
 
Vipi kuhusu vichwa vya treni?

Au ufisadi ule mlio udhibitisha mbele ya vyombo vya habari,fisadi lake mmelisahau?

DOUBLE STANDARDS
CCM kuwa na MAFISADI ni normal.
Kinachoudhi ni MAFISADI hayo yanapojikusanya kuja kunajisi chama chetu huku!
 
Vipi kuhusu kumuvua ukurugenzi wa wanyamapori enzi zile Prof Alexander Songorwa, hujuma zake kwa waziri wake Balozi Kagasheki?
Jamaa wamekwisha sahau kabisa hasara aloileta Nyarandu ktk wizara ya maliasili na utalii.
Sio kwamba wamesahau,ila wameishajitangazia kwenda kinyume cha serikali iwe mbaya au nzuri,sijui sababu ya kunywa maji ya chupa hayana virutubisho vya asilia.
 
 
HICHI ULICHOANDIKA!
 
nyie mafisadi wa CHADEMA tutawafunga muda si mrefu siku zenu zinahesabika
 

I think wawe wanapeleka shule kwanza kuwafundisha namna ya kuandika, kabla hamjaanza kutoa maoni.

Mjue kutofautika kati ya “R”na “L”

Otherwise buku 7000 zinapotea bure.
 
Mtu asiyejua tofauti ya r na l inakuwa tabu sana kumchukulia kama mtu makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…