Asubuhi hii nakuja na swali kama linavyojieleza,Maamuzi ya Mh Nyalandu kidogo yameninyima usingizi,je Mh unaweza real kuwa mwanasiasa wa upinzani kama Lisu,Lema,Mbowe,Halima Mdee,Msigwa
???je unafikiri this is right time to do so??unaonaje maneno ya Mh Lowasa Jana kwamba umechelewa?? Alikuwa anamaanisha nini?
Kwa kuwa nina uwezo wa kufikiri mbali kidogo nimeona nimshauri Mh Nyalandu mambo yafuatayo,na ninaamini atayapa kipau mbele kwa kuwa anakoelekea nilishakaa huko na najua matokeo yake,
Je Mh Nyalandu unayajua maneno ya Rais Magufuli aliyotamka adharani kwamba atakayetupinga tutambomoa au tutamvunja? Kabla ya kuchukua maamuzi uliwaza kitu kama hicho?je upo tayari kulipa gharama ya kuwa mwanasiasa mpinzani nchi hii? Ninachoona kwa macho yangu na kuamini moyoni mwangu ni kwamba unampinga mwanyekiti wako wa zamani na alishatoa warning!!!
Mh Nyalandu kuna gharama kubwa sana unatakiwa ulipe kuanza sasa hivi za safari uliyoanza Jana,kwa mtazamo wangu hutaweza na Lowasa alijaribu kukueleza kwamba umechelewa,huu sio wakati muafaka wa kufanya unayotaka kuyafanya,is dangerous and your risking it all?
Wanasiasa wa upinzani wameshalipa gharama kubwa kila MTU kwa wakati wake
Wamepigwa na polisi wanaotakiwa kuwalinda,wametukanwa,wameuawa,wamezushiwa na kufanyiwa vitendo vibaya na serikali unayojiandaa kuipinga,
Nakushauri huu sio wakati muafaka kufanya unayotaka kufanya,ni hatari kubwa kwa kuwa unataka kumpinga MTU aliyesema Ukinipinga nakubomoa,
Hutaweza kupita walikopita wakina Lissu is too late brother,
Dr Slaa yupo zake kanada katulia na familia mastrees yote ya kijinga yameisha,
Hujazoea misukosuko wanayopitia wapinzani and is too late now,
Ondoka Tanzania haraka sana chukua familia yako nenda nchi yoyote au rudi zako marekani enjoy life my friend,
Jambo unalotaka kufanya ni hatari kwa maisha yako na itakugharimu heavy price,
Brother hakuna politics in African, is wasting time,achana na siasa utaumia hutamuweza Magufuli atakuumiza,
Naongelea uzoefu na Mimi binafsi nimelipa gharama kubwa za kuwa mpinzani na nimekuja kugundua ni hatari kubwa na nimeamua kukaa pembeni kwa sababu I will never change anything anyway,,,,