Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Hawawezi kuwashtaki maana wengi walifanya kwa kuwasaidia wastaafu wenye KINGA ndiyo sababu kuguswa siyo rahisi kivihvyo tunavyodhani.Nasubiria kesi ya Lazaro Nyalandu inayopelekwa mahakamani na UVCCM
uvccm wanafanya maigizi walikuwa wapi kipindi anaomba ridhaa ya kuwa mbunge kwa tiket ya ccm?
 
sio kweli jamaa kwa sas hayupo nchini
ingia [HASHTAG]#magekimambi[/HASHTAG]....... usome zaidi
Kwa hyo atafia huko huko alipo?
Tanzania hatorudi.

Hizo tuhuma zake za ufisadi ZIMEANZA LEO ALIVYOONDOKA?
AU TANGU ZAMANI
MLICHUKUA HATUA GANI BAADA YA KUJUA CCM KUNA FISADI NYALANDU?
 
Ni nani aliye msafi wa kumnyoshea Nyalandu kidole? Hamkuona ufisadi wake akiwa ccm mmeuona baada ya kuhama chama?
 
uvccm wanafanya maigizi walikuwa wapi kipindi anaomba ridhaa ya kuwa mbunge kwa tiket ya ccm?

Hapo ndipo ninapoichukia serikali ya CCM hawaoni maovu mpaka pale muhusika anapotoka kwenye System.Na hawayaoni sababu yanakuwa yamejiunganisha pamoja na maovu ya taasisi kubwa ya URAIS.Ni kama watoto mapacha wasioweza kutenganishwa maana UTI wa MGONGO wake ni 'KINGA YA URAIS"
 
Nyalandu amekimbia wapi? Mbona yupo?
 
Wiki iliyopita Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na wadau wa Wizara yake alisema kuwa baadhi ya mawaziri na wabunge wa awamu ya nne wangepaswa kuwa jela kwa ufisadi na ushiriki wao kwenye ujangili. Leo Nyalandu amekimbia. Ifuatayo ni historia ya kashfa moja ya Nyalandu.

Kampuni ya Kimarekani ya Friedkin Conservation Fund (FCF) ambayo inamiliki kampuni tanzu za uwindaji wa kitalii za Mwiba Holdings Ltd, Tanzania Game Trackers Safaris (TGTS) ni miongoni mwa watuhumiwa wa ujangili
Uchunguzi unaonesha kumekuwapo matukio kadhaa ya wafanyakazi wa Mwiba kukamatwa wakiwa wameua wanyamapori na kukutwa na nyara za Serikali.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii vimesema mara zote kesi zinazoihusu kampuni hizo zimekwama kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni urafiki wao wa karibu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu.

Urafiki wa Nyalandu na wamiliki wa kampuni hizo ulikuwa mkubwa kiasi cha kumpatia moja ya helikopta zake aitumie kwenye mbio za kuwania urais, kabla ya kushindwa na kujielekeza kwenye ubunge.

Helikopta ya kampuni hiyo ndiyo aliyoitumia wakati wote wa kampeni zake za ubunge
Nyalandu alimwamuru Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori wa wakati huo, Paul Sarakikya, kutoa Leseni ya Rais kwa familia ya Tom Friedkin (mmiliki wa kampuni hizi) kuwinda wanyamapori 700 katika vitalu vinane na eneo la wazi la Makao. Leseni hizo zilitolewa bure bila kulipiwa hata senti.

Miongoni mwa wanyamapori waliokuwa kwenye orodha ya kuuawa ni tembo walio katika hatari ya kutoweka.

Pia Nyalandu alikiuka sheria kwa kupuuza ukomo wa idadi ya vitalu vitano kwa kampuni moja. TGTS imemilikishwa vitalu vinane pamoja na eneo la wazi; hali ambayo ni ukiukwaji wa kifungu cha 38(7) cha Sheria ya Wanyamapori.

Kampuni hiyo pia ilipewa vitalu na Nyalandu kinyemela, ilhali sheria ikiagiza kuwa kitalu kinapobaki wazi sharti kitangazwe kwanza na waombaji washindanishwe katika mfumo na utaratibu ulio wa haki na uwazi [Kanuni ya Uwindaji wa Kitalii 18(1).

Pamoja na kutoa Leseni ya Rais, Wamarekani hao walileta watoto wadogo, chini ya umri wa miaka 18 kuwinda; jambo ambalo ni kinyume cha kifungu cha 43(3) cha Sheria ya Wanyamapori Namba 5 ya mwaka 2009.

FCF na kampuni tanzu imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama (Makao Ranch).

Kampuni ya Mwiba Holdings Ltd chini ya TGTS Ltd ambazo zinamilikiwa na Friedkin Conservation Fund (FCF) imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama.

Hata baada ya kumalizika Mkataba wake na JUHIWAPOMA, kampuni ya Mwiba Holdings Ltd iling’ang’ania na kuendelea kukalia eneo la Makao WMA kwa mabavu na kinyume cha sheria.

Tutawaletea moja baada ya nyingine.

HABARI,
Sawa mkuu kwa Taarifa iliyoeleweka,Kama ni kweli hapa lazima sheria ifate mkondo wake na watu kwenye hili wasije wakasema mtu amepandwisha mahakamani kwakuwa amehama chama waziri mpya wa maliasili alisha sema lazima watu wote wahusika sheria ichukue mkondo.Ila na waliopo ndani ya CCM pia wito sheria pia ifate mkondo.

LUMUMBA
 
Unaweza kunipa jibu mkuu,Nini kilizuia yeye kuchukuliwa hatua kipindi hiko,akaachwa mpaka asa hivi,nionyeshe mtu mmoja tu unaemjua Ni Safi nami nitaamini maneno yako,mi si mwanasiasa na Sina chama ila hayo Mambo ya kijinga kijinga achana nayo na acha nchi ijijenga,inaitaji watu wengine hi nchi,mkimuachia mmoja mnamuonea
 
Asubuhi hii nakuja na swali kama linavyojieleza,Maamuzi ya Mh Nyalandu kidogo yameninyima usingizi,je Mh unaweza real kuwa mwanasiasa wa upinzani kama Lisu,Lema,Mbowe,Halima Mdee,Msigwa
???je unafikiri this is right time to do so??unaonaje maneno ya Mh Lowasa Jana kwamba umechelewa?? Alikuwa anamaanisha nini?
Kwa kuwa nina uwezo wa kufikiri mbali kidogo nimeona nimshauri Mh Nyalandu mambo yafuatayo,na ninaamini atayapa kipau mbele kwa kuwa anakoelekea nilishakaa huko na najua matokeo yake,
Je Mh Nyalandu unayajua maneno ya Rais Magufuli aliyotamka adharani kwamba atakayetupinga tutambomoa au tutamvunja? Kabla ya kuchukua maamuzi uliwaza kitu kama hicho?je upo tayari kulipa gharama ya kuwa mwanasiasa mpinzani nchi hii? Ninachoona kwa macho yangu na kuamini moyoni mwangu ni kwamba unampinga mwanyekiti wako wa zamani na alishatoa warning!!!
Mh Nyalandu kuna gharama kubwa sana unatakiwa ulipe kuanza sasa hivi za safari uliyoanza Jana,kwa mtazamo wangu hutaweza na Lowasa alijaribu kukueleza kwamba umechelewa,huu sio wakati muafaka wa kufanya unayotaka kuyafanya,is dangerous and your risking it all?
Wanasiasa wa upinzani wameshalipa gharama kubwa kila MTU kwa wakati wake
Wamepigwa na polisi wanaotakiwa kuwalinda,wametukanwa,wameuawa,wamezushiwa na kufanyiwa vitendo vibaya na serikali unayojiandaa kuipinga,
Nakushauri huu sio wakati muafaka kufanya unayotaka kufanya,ni hatari kubwa kwa kuwa unataka kumpinga MTU aliyesema Ukinipinga nakubomoa,
Hutaweza kupita walikopita wakina Lissu is too late brother,
Dr Slaa yupo zake kanada katulia na familia mastrees yote ya kijinga yameisha,
Hujazoea misukosuko wanayopitia wapinzani and is too late now,
Ondoka Tanzania haraka sana chukua familia yako nenda nchi yoyote au rudi zako marekani enjoy life my friend,
Jambo unalotaka kufanya ni hatari kwa maisha yako na itakugharimu heavy price,
Brother hakuna politics in African, is wasting time,achana na siasa utaumia hutamuweza Magufuli atakuumiza,
Naongelea uzoefu na Mimi binafsi nimelipa gharama kubwa za kuwa mpinzani na nimekuja kugundua ni hatari kubwa na nimeamua kukaa pembeni kwa sababu I will never change anything anyway,,,,
Unamsemea kama dada yake?
 
Wiki iliyopita Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na wadau wa Wizara yake alisema kuwa baadhi ya mawaziri na wabunge wa awamu ya nne wangepaswa kuwa jela kwa ufisadi na ushiriki wao kwenye ujangili. Leo Nyalandu amekimbia. Ifuatayo ni historia ya kashfa moja ya Nyalandu.

Kampuni ya Kimarekani ya Friedkin Conservation Fund (FCF) ambayo inamiliki kampuni tanzu za uwindaji wa kitalii za Mwiba Holdings Ltd, Tanzania Game Trackers Safaris (TGTS) ni miongoni mwa watuhumiwa wa ujangili
Uchunguzi unaonesha kumekuwapo matukio kadhaa ya wafanyakazi wa Mwiba kukamatwa wakiwa wameua wanyamapori na kukutwa na nyara za Serikali.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii vimesema mara zote kesi zinazoihusu kampuni hizo zimekwama kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni urafiki wao wa karibu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu.

Urafiki wa Nyalandu na wamiliki wa kampuni hizo ulikuwa mkubwa kiasi cha kumpatia moja ya helikopta zake aitumie kwenye mbio za kuwania urais, kabla ya kushindwa na kujielekeza kwenye ubunge.

Helikopta ya kampuni hiyo ndiyo aliyoitumia wakati wote wa kampeni zake za ubunge
Nyalandu alimwamuru Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori wa wakati huo, Paul Sarakikya, kutoa Leseni ya Rais kwa familia ya Tom Friedkin (mmiliki wa kampuni hizi) kuwinda wanyamapori 700 katika vitalu vinane na eneo la wazi la Makao. Leseni hizo zilitolewa bure bila kulipiwa hata senti.

Miongoni mwa wanyamapori waliokuwa kwenye orodha ya kuuawa ni tembo walio katika hatari ya kutoweka.

Pia Nyalandu alikiuka sheria kwa kupuuza ukomo wa idadi ya vitalu vitano kwa kampuni moja. TGTS imemilikishwa vitalu vinane pamoja na eneo la wazi; hali ambayo ni ukiukwaji wa kifungu cha 38(7) cha Sheria ya Wanyamapori.

Kampuni hiyo pia ilipewa vitalu na Nyalandu kinyemela, ilhali sheria ikiagiza kuwa kitalu kinapobaki wazi sharti kitangazwe kwanza na waombaji washindanishwe katika mfumo na utaratibu ulio wa haki na uwazi [Kanuni ya Uwindaji wa Kitalii 18(1).

Pamoja na kutoa Leseni ya Rais, Wamarekani hao walileta watoto wadogo, chini ya umri wa miaka 18 kuwinda; jambo ambalo ni kinyume cha kifungu cha 43(3) cha Sheria ya Wanyamapori Namba 5 ya mwaka 2009.

FCF na kampuni tanzu imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama (Makao Ranch).

Kampuni ya Mwiba Holdings Ltd chini ya TGTS Ltd ambazo zinamilikiwa na Friedkin Conservation Fund (FCF) imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama.

Hata baada ya kumalizika Mkataba wake na JUHIWAPOMA, kampuni ya Mwiba Holdings Ltd iling’ang’ania na kuendelea kukalia eneo la Makao WMA kwa mabavu na kinyume cha sheria.

Tutawaletea moja baada ya nyingine.
Ingelipendeza kama tungeyasema haya mapema!
 
Ondoka Tanzania haraka sana chukua familia yako nenda nchi yoyote au rudi zako marekani enjoy life my friend,
Rose wewe ni genius. Unamshauri aende zake marekani akatulie ale mapesa aliyovuna kwa hao waamerika!
 
tangu jana mh lazaro nyarandu alaipo tangaza kujiuzulu ccm na kuhamia cdm yamezuka mambo ambayo tusiyofaham kuhusu uongozi wake kwenye wizara hiyo ya maliasili hizi ni baadhi tuu ya picha pindi akiwa Waziri katika wizara ya maliasili [HASHTAG]#source[/HASHTAG] tanzamwanga /facebook page
FB_IMG_1509426026073.jpg
 
Miaka mingi ukiuliza mtu wa upinzani kwanini nchi haina maendeleo atakwambia mfumo,ukimuuliza mfumo nini ,atakujibu mfumo ni utaratibu wa ccm wanavyoiba,ukiuliza ni kina nani walio nyuma ya huo mfumo na wanaratatibu watakuambia ni nyalandu,lowassa,sumaye,rostam hao wakiondoka ccm itakua chama bora,

Na mtu ambae hana kashfa ni magufuli hizi ni kauli walikua wakizitoa mwaka 2014 mungu sio mashinji ghafla mungu akataka kutuonyesha kua watu hao waangalie midomo yao na nyuso za ni tofauti yaani ni wanafiki,

Mpaka kufika 2015 zile taka taka zote zimejificha ndani ya stoo yao, choo wamekitoa nje wamekiingiza chumbani,wale waliowapigia kelele na kuaminisha wale wafuasi wao watiifu kwamba hawa watu hawafai sasa wamewabadilishia beti na hakuna wa kuhoji wala kukumbusha kwamba mlituambia ccm ni mfumo mbona ule mfumo umehamia kwetu na mmeupokea wote.
Huyu mmoja mlimuita mr ziro lakini tumempa uenyekiti,hili fisadi namba moja tulimpa bendera ya uraisi,huyu jangili muuza vitalu tumempokea kwa mbwe mbwe vipi hapa,

Hoji upotee na kuitwa msaliti na ukifukuzwa uanachama katiba hairuhusu kwenda mahakamani kama huamini hilo muulize zitto mwigamba,shonza,kitila na kafulila.

Ccm ni chama imara na ni sawa na jiti kubwa kila likijinyoosha na kuzidi kukua magome dhaifu huanguka hivyo ccm inayoendelea ndio ccm ya kweli,

Tunashangaa na kujiuliza mbona wafuasi watiifu wanashangalia mfumo kuhamia kwao au ndio ile hata kiongozi akikimbia bila nguo mtaani kwa kujitoa ufahamu watasema ana nguo,

Ccm ilivamiwa na mafisadi yameondoka,ccm ilikua na majangili yamejipima na kujitathimini yameamua kuchukua maamuzi,ccm walikua na wezi wa kushikilia mahekari ya ardhi wameondoka na juhudi kubwa za rais ni kurudisha ardhi yote iliyoporwa kipindi cha uongozi wa mfumo.

Hivi sasa mfumo upo ndani ya chadema!

CCM IMARA NDIO INAONEKANA KUELEKEA 2020

Msitu umetiwa moto wadudu na wanyama hawana pa kujificha!
 
samahani jose

Huenda wakabadilika mkuu name kuendana na mfumo mpya
 
Nyalandu ana akili timamu kushinda wewe, je unadhani ni mgeni na siasa za nchi hii??
 
Back
Top Bottom