Sidhani kama ameenda CDM kwa kusaka urais!! Narudia tena mgombea wetu wa kudumu ni EDWARD LOWASA asituletee shombo. Yeye agombee nafasi zingineUnamjua au unamsikia. Subili muziki wake 2020 kuhusu urais!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ameenda CDM kwa kusaka urais!! Narudia tena mgombea wetu wa kudumu ni EDWARD LOWASA asituletee shombo. Yeye agombee nafasi zingineUnamjua au unamsikia. Subili muziki wake 2020 kuhusu urais!!!!
Mbona Mkapa amejenga jumba kubwa Lushoto, hoka yako ni ya chuki Haifa kwenye kundi la Great Thinkers.Mimi ni mkazi wa Arusha mjini na nilishawahi nunua kiwanja kule Sanawari ya Juu Arusha jirani na alikojenga Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu jumba kubwa na nafikiri anaishi humo kwa sasa na amebase Arusha badala ya Singida au Arusha na Dar kama walivyo wabunge wengi wa CCM na upinzani.
Tusishangae 2020 Nyalandu akigombea ubunge Arusha Magharibi kama atashindwa Urais kupitia CDM.
Nashauri tu tunapojadili siasa na wanasiasa tusizame sana kuwatetea maana hatuwajui wala hatutawajua unless wewe nawe ni mwanasiasa au mnufaika wa siasa chafu za TZ
Kama anahatia wananchi wakisema anaonewa ndyo atasamehewa na mahakama?Amekimbia kesi zake huyu anataka kujificha nyuma ya chadema ili wananchi waseme anaonewa kwa kua kahama chama
NASHANGAA MBONA HAWASEMI KILE KIJIJI CHA MZEE KULE CHATTLE/BAR NKKujenga jumba kubwa siku hizi ni kosa kisheria?
Wapi ulipotukanwa?mkuu mbona matusi tena haya?
Mimi ni mkazi wa Arusha mjini na nilishawahi nunua kiwanja kule Sanawari ya Juu Arusha jirani na alikojenga Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu jumba kubwa na nafikiri anaishi humo kwa sasa na amebase Arusha badala ya Singida au Arusha na Dar kama walivyo wabunge wengi wa CCM na upinzani.
Tusishangae 2020 Nyalandu akigombea ubunge Arusha Magharibi kama atashindwa Urais kupitia CDM.
Nashauri tu tunapojadili siasa na wanasiasa tusizame sana kuwatetea maana hatuwajui wala hatutawajua unless wewe nawe ni mwanasiasa au mnufaika wa siasa chafu za TZ
Kumjua kama mbunge au kiongozi wako hakutoshi. wengine tunamjua kama kija wetuWe unamjuaje. Mi namjua alikuwa mbunge wangu mpaka juzi
Watanzania mnafurahia mtu akiwa maskini,,,kuwa middleman sio kosa kisheria hata wewe unaruhusiwa,,,Mimi ni mkazi wa Arusha mjini na nilishawahi nunua kiwanja kule Sanawari ya Juu Arusha jirani na alikojenga Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu jumba kubwa na nafikiri anaishi humo kwa sasa na amebase Arusha badala ya Singida au Arusha na Dar kama walivyo wabunge wengi wa CCM na upinzani.
Tusishangae 2020 Nyalandu akigombea ubunge Arusha Magharibi kama atashindwa Urais kupitia CDM.
Nashauri tu tunapojadili siasa na wanasiasa tusizame sana kuwatetea maana hatuwajui wala hatutawajua unless wewe nawe ni mwanasiasa au mnufaika wa siasa chafu za TZ
Sio kosa,ila ni dhambi ukizingatia jimboni wapiga kura wanaishi kwenye tembe.Kujenga jumba kubwa siku hizi ni kosa kisheria?
Juzi juzi nilikuwa naongea naye. Inaonyesha alifikiri atateuliwa kuwa Waziri. Huyu jamaa kwa urais ni sawa na mwigulu na Makamba. Ni kama ugonjwa na Mbowe awe macho safari hii mh!! ngoja nifunge domo languSidhani kama ameenda CDM kwa kusaka urais!! Narudia tena mgombea wetu wa kudumu ni EDWARD LOWASA asituletee shombo. Yeye agombee nafasi zingine
unamuongelea huyu kigogo mbona humuongelei bashite mwaka mmoja tu ghorofa magari ya kifahari anayopewa na wauza unga..Mimi ni mkazi wa Arusha mjini na nilishawahi nunua kiwanja kule Sanawari ya Juu Arusha jirani na alikojenga Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu jumba kubwa na nafikiri anaishi humo kwa sasa na amebase Arusha badala ya Singida au Arusha na Dar kama walivyo wabunge wengi wa CCM na upinzani.
Tusishangae 2020 Nyalandu akigombea ubunge Arusha Magharibi kama atashindwa Urais kupitia CDM.
Nashauri tu tunapojadili siasa na wanasiasa tusizame sana kuwatetea maana hatuwajui wala hatutawajua unless wewe nawe ni mwanasiasa au mnufaika wa siasa chafu za TZ
Hilo jumba kubwa ni kama kasri la mfalme wa Brunei?Mimi ni mkazi wa Arusha mjini na nilishawahi nunua kiwanja kule Sanawari ya Juu Arusha jirani na alikojenga Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu jumba kubwa na nafikiri anaishi humo kwa sasa na amebase Arusha badala ya Singida au Arusha na Dar kama walivyo wabunge wengi wa CCM na upinzani.
Tusishangae 2020 Nyalandu akigombea ubunge Arusha Magharibi kama atashindwa Urais kupitia CDM.
Nashauri tu tunapojadili siasa na wanasiasa tusizame sana kuwatetea maana hatuwajui wala hatutawajua unless wewe nawe ni mwanasiasa au mnufaika wa siasa chafu za TZ