Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Ujambazi huko utalii haujaanza Jana wala juzi ni muendelezo tuu Stanley Katabalo alipotea kwa kuzungumzia ukweli wa Loliondo Gate kwenye magazeti ya mfanyakazi na motomoto wakati huo..
Kwa hiyo nyarandu yeye aliundeleza ?
 
Ccm ni wapushkuna na wanafiki wakubwa...
Ni kwa nini haya yaibuke leo?
Leo hata Jaffo ikitokea akihama ccm basi maccm ni lazima yamfanyie fitina!
Kama vipi basi ccm wekeni kashfa za viongozi wote walioko madarakani na waliostaafu.
Ngugu alie muita nyrndu mwizi wa twiga na fisadi wa vitalu ni chadema ila akishaham mnageuka na kumsafisha unakumbuka Lowassa ..lema alisema msimuite waziri mkuu mstaafu ni mwizi alijiuzulu na ni raha kumzomea lakini Leo hii ni kiongozi wa chadema hata makonda mnamtukana leo akihamia chadema mtamsifia kwa nn nyie msiache kupakazia watu kashfa za kipumbavu na unafiki wenu??
 
Siku zote walikua wapi wasiseme ccm ni gari bovu kwanini leo ndio wanasema,hakuna waziri maskini ccm kuanzia baba yao mpka manaibu mawaziri,tunajua nyalandu kapiga sana kwenye vitalu na yuko vizuri kiuchumi.
Kwanini mda wote wasimpeleke mahakamani
 
Hivi kuna waziri yeyote wa CCM ambaye ni msafi!!?. Wote wanapiga.. ila kwa kuwa ndio mtindo wa chama huwa inabaki siri, ila ukichomoka huko ndio wanakutupia kashfa kwa kuwa wanakuona msaliti... ila mi naamini mtu akitoka CCM na kuja upinzani huwa anakuwa amechoshwa na system ya upigaji hivyo kaamua kuwa mtu mwema kwenye chama chema.. tangu Lowassa ajiunge Chadema hajajihusisha tena na swala lolote la kifisadi kwa sababu huku hakuna mianya inayoruhusu.. karibu Kiumeni Nyalandu huku ukitegemea kashfa nyingi kutoka kwa wachumia tumbo.
 
Ngugu alie muita nyrndu mwizi wa twiga na fisadi wa vitalu ni chadema ila akishaham mnageuka na kumsafisha unakumbuka Lowassa ..lema alisema msimuite waziri mkuu mstaafu ni mwizi alijiuzulu na ni raha kumzomea lakini Leo hii ni kiongozi wa chadema hata makonda mnamtukana leo akihamia chadema mtamsifia kwa nn nyie msiache kupakazia watu kashfa za kipumbavu na unafiki wenu??

Na ni nani aliye msafi ccm!
Hawa wanaowakimbia wanajuta na kutubu makosa yao, wezi na mafisadi bado ipo ccm!!
 
Chadema ni sawa na dust bin ya gesti, watu wakishafanya hao uchafu hutupwa huko,
 
Ngugu alie muita nyrndu mwizi wa twiga na fisadi wa vitalu ni chadema ila akishaham mnageuka na kumsafisha unakumbuka Lowassa ..lema alisema msimuite waziri mkuu mstaafu ni mwizi alijiuzulu na ni raha kumzomea lakini Leo hii ni kiongozi wa chadema hata makonda mnamtukana leo akihamia chadema mtamsifia kwa nn nyie msiache kupakazia watu kashfa za kipumbavu na unafiki wenu??
Kaka inaonekana wewe utashangaa hata ukikutana na majambazi wastahafu peponi.. CCM ni kambi ya wapigaji.. mtu akitoka huko anatakiwa apongezwe na kupokelewa vizuri kwa sababu atakuwa amekusudia kuachana na upigaji ndio maana kapakimbia huko ili asije kurudi dhambini.
 
Chadema ni sawa na dust bin ya gesti, watu wakishafanya hao uchafu hutupwa huko,
Ila hata sisi tuna dust bin zetu tumezipa udiwani na sasa hatuzioni kwenye maeneo yao.. inawezekana ziko sehemu zinatumika kwenye magesti..
 
Kwanza watu ni wasauhulifu sana; aliyepandisha twiga kwenye ndege ni Maige na si Nyalando. Maige bado yupo ccm na hamsemi kashfa yake? Na bado kwao msafi? Akiondoka hii itamrudia?
Na akija kwenu ingali ana hayo makando kando bado mtamuita shujaa wa kweli na anayejitambua??
 
Kaka inaonekana wewe utashangaa hata ukikutana na majambazi wastahafu peponi.. CCM ni kambi ya wapigaji.. mtu akitoka huko anatakiwa apongezwe na kupokelewa vizuri kwa sababu atakuwa amekusudia kuachana na upigaji ndio maana kapakimbia huko ili asije kurudi dhambini.
Kama ni hivyo inabidi muwaombe radhi kwa Yale yote mliyowapakazia pindi wakiwa viongozi serikalini
Kwa maana nyinyi CHADEMA ndio mliowapa shutuma na kudai mna ushahidi wote!
Jambo la ajabu na la kushangaza mnasema wanakuja huko ili kutubu madhambi ....mtu ashapiga mabilioni ya pesa ana shida gani nyingine tena ya kuwa serikalini??
Hakika CHADEMA ni chaka la mafisadi!
Wanaogeuka mashujaa kwa haraka.
 
Kwa namna hii nchi haiwezi kipona CCM ni kichaka cha ufisadi kwa kuwa kinashika dola.Kwa namna hii wa uovu wa mtu kionekana akitoka CCM ni janga,na hapa mzizi ni KATIBA ya rasimu ya mzee Warioba.
 
Kama ni hivyo inabidi muwaombe radhi kwa Yale yote mliyowapakazia pindi wakiwa viongozi serikalini
Kwa maana nyinyi CHADEMA ndio mliowapa shutuma na kudai mna ushahidi wote!
Jambo la ajabu na la kushangaza mnasema wanakuja huko ili kutubu madhambi ....mtu ashapiga mabilioni ya pesa ana shida gani nyingine tena ya kuwa serikalini??
Hakika CHADEMA ni chaka la mafisadi!
Wanaogeuka mashujaa kwa haraka.
Hakuna aliyepakaziwa.. ni kweli ukiwa CCM lazima uwe mpigaji kwa kuwa system inaruhusu.. na huwezi kuona wenzako wanapiga we unawaangalia tu.. labda kama una matatizo ya akili.. mtu akikwambia ameacha kupiga wakati bado yuko CCM ni mwongo, hivyo hatustahili kuwaomba radhi bali kuwapongeza kwa maamuzi magumu ya kuacha pesa CCM na kuja kupambana na Nissan nyeupe na Noah nyeusi kiumeni.
 
alisema kuwa baadhi ya mawaziri na wabunge wa awamu ya nne wangepaswa kuwa jela kwa ufisadi na ushiriki wao kwenye ujangili. Leo Nyalandu amekimbia. Ifuatayo ni historia ya kashfa moja ya Nyalandu.
Kama viongozi wa awamu ya 5 wapo serious kweli, wawaondolee kinga marais woteee ili akina Mkapa, Mwinyi, JK (na JPM muda wake ukiisha) nao waweze kuonekana kortini kabla hatujaanza kuwakaba koo akina Nyalandu, Membe, Msabaha na majizi yote. Otherwise hizi ni kelele zisizo na tija. Ukimkamata Nyalandu akaja akasema yeye alikuwa anatekeleza amri ya Rais kama vile JPM alivyotekeleza maagizo ya Mkapa ya kujiuzia nyumba, unafanyanye?
 
Wiki iliyopita Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na wadau wa Wizara yake alisema kuwa baadhi ya mawaziri na wabunge wa awamu ya nne wangepaswa kuwa jela kwa ufisadi na ushiriki wao kwenye ujangili. Leo Nyalandu amekimbia. Ifuatayo ni historia ya kashfa moja ya Nyalandu.

Kampuni ya Kimarekani ya Friedkin Conservation Fund (FCF) ambayo inamiliki kampuni tanzu za uwindaji wa kitalii za Mwiba Holdings Ltd, Tanzania Game Trackers Safaris (TGTS) ni miongoni mwa watuhumiwa wa ujangili
Uchunguzi unaonesha kumekuwapo matukio kadhaa ya wafanyakazi wa Mwiba kukamatwa wakiwa wameua wanyamapori na kukutwa na nyara za Serikali.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii vimesema mara zote kesi zinazoihusu kampuni hizo zimekwama kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni urafiki wao wa karibu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu.

Urafiki wa Nyalandu na wamiliki wa kampuni hizo ulikuwa mkubwa kiasi cha kumpatia moja ya helikopta zake aitumie kwenye mbio za kuwania urais, kabla ya kushindwa na kujielekeza kwenye ubunge.

Helikopta ya kampuni hiyo ndiyo aliyoitumia wakati wote wa kampeni zake za ubunge
Nyalandu alimwamuru Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori wa wakati huo, Paul Sarakikya, kutoa Leseni ya Rais kwa familia ya Tom Friedkin (mmiliki wa kampuni hizi) kuwinda wanyamapori 700 katika vitalu vinane na eneo la wazi la Makao. Leseni hizo zilitolewa bure bila kulipiwa hata senti.

Miongoni mwa wanyamapori waliokuwa kwenye orodha ya kuuawa ni tembo walio katika hatari ya kutoweka.

Pia Nyalandu alikiuka sheria kwa kupuuza ukomo wa idadi ya vitalu vitano kwa kampuni moja. TGTS imemilikishwa vitalu vinane pamoja na eneo la wazi; hali ambayo ni ukiukwaji wa kifungu cha 38(7) cha Sheria ya Wanyamapori.

Kampuni hiyo pia ilipewa vitalu na Nyalandu kinyemela, ilhali sheria ikiagiza kuwa kitalu kinapobaki wazi sharti kitangazwe kwanza na waombaji washindanishwe katika mfumo na utaratibu ulio wa haki na uwazi [Kanuni ya Uwindaji wa Kitalii 18(1).

Pamoja na kutoa Leseni ya Rais, Wamarekani hao walileta watoto wadogo, chini ya umri wa miaka 18 kuwinda; jambo ambalo ni kinyume cha kifungu cha 43(3) cha Sheria ya Wanyamapori Namba 5 ya mwaka 2009.

FCF na kampuni tanzu imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama (Makao Ranch).

Kampuni ya Mwiba Holdings Ltd chini ya TGTS Ltd ambazo zinamilikiwa na Friedkin Conservation Fund (FCF) imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama.

Hata baada ya kumalizika Mkataba wake na JUHIWAPOMA, kampuni ya Mwiba Holdings Ltd iling’ang’ania na kuendelea kukalia eneo la Makao WMA kwa mabavu na kinyume cha sheria.

Tutawaletea moja baada ya nyingine.
Wakati Nyalandu akiwa waziri wa Maliasili na Utalii alikuwa na msimamo wa kufungua lango la Bolongoja kati ya Tanzania na Kenya ambalo liko Hifadhi ya Serengeti ili watalii kutoka Hifadhi ya Maasai Mara Kenya waingie Serengeti kuangalia wanyama lakini kula ba kulala Maasai Mara. Tanzania ingeambulia ada za wageni na magari kuingia Serengeti lakini Maasai Mara wangaliendelea kupata mapato kutoka vyanzo vifuatavyo1. Ada za watalii na magari kuingia hifadhi ya Maasai Mara 2. Kodi ya kitanda kwa kila mtalii anayelala kwenye hoteli 3. Chakula na vivywaji 4. Ajira kwa watumishi wa hoteli na vituo vya mafuta 5. Ada ya ndege kutua kwenye viwanja vya hifadhi 6. Ada kwa waongoza watalii hasa wale wa kutembea hufadhini 7. Mauzo ya kazi za sanaa kama vinyago, bangili nk 8. Ada za kupiga kambi 9. Utalii wa "hot air balloon 10. Utalii wa gari usiku (night drive). Kubwa zaidi ni kwa Serikali ya Kenya kupata mapato yatokanayo na utalii kutoka hifadhi ya Maasai Mara.
Nyalandu hakuona hasara hizi kubwa zaidi ni adhari ya mazingira kwa sababu magari mengi yangekuwa yanaingia kwa "day trip" na kujazana kwenye eneo la karibu na mpaka wa Tanznaia na Kenya. Baba wa Taifa aliliona matatizo ya kupoteza mapato na adhari za mazingira lakini Nyalandu kwake zilikuwa fursa za ufisadi.
 
Hakuna aliyepakaziwa.. ni kweli ukiwa CCM lazima uwe mpigaji kwa kuwa system inaruhusu.. na huwezi kuona wenzako wanapiga we unawaangalia tu.. labda kama una matatizo ya akili.. mtu akikwambia ameacha kupiga wakati bado yuko CCM ni mwongo, hivyo hatustahili kuwaomba radhi bali kuwapongeza kwa maamuzi magumu ya kuacha pesa CCM na kuja kupambana na Nissan nyeupe na Noah nyeusi kiumeni.
Zile shutuma zake tunafanyeje sasa?
Maana ushahidi mnao nyie wenyewe.
 
Wiki iliyopita Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na wadau wa Wizara yake alisema kuwa baadhi ya mawaziri na wabunge wa awamu ya nne wangepaswa kuwa jela kwa ufisadi na ushiriki wao kwenye ujangili. Leo Nyalandu amekimbia. Ifuatayo ni historia ya kashfa moja ya Nyalandu.

Kampuni ya Kimarekani ya Friedkin Conservation Fund (FCF) ambayo inamiliki kampuni tanzu za uwindaji wa kitalii za Mwiba Holdings Ltd, Tanzania Game Trackers Safaris (TGTS) ni miongoni mwa watuhumiwa wa ujangili
Uchunguzi unaonesha kumekuwapo matukio kadhaa ya wafanyakazi wa Mwiba kukamatwa wakiwa wameua wanyamapori na kukutwa na nyara za Serikali.

Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii vimesema mara zote kesi zinazoihusu kampuni hizo zimekwama kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni urafiki wao wa karibu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu.

Urafiki wa Nyalandu na wamiliki wa kampuni hizo ulikuwa mkubwa kiasi cha kumpatia moja ya helikopta zake aitumie kwenye mbio za kuwania urais, kabla ya kushindwa na kujielekeza kwenye ubunge.

Helikopta ya kampuni hiyo ndiyo aliyoitumia wakati wote wa kampeni zake za ubunge
Nyalandu alimwamuru Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori wa wakati huo, Paul Sarakikya, kutoa Leseni ya Rais kwa familia ya Tom Friedkin (mmiliki wa kampuni hizi) kuwinda wanyamapori 700 katika vitalu vinane na eneo la wazi la Makao. Leseni hizo zilitolewa bure bila kulipiwa hata senti.

Miongoni mwa wanyamapori waliokuwa kwenye orodha ya kuuawa ni tembo walio katika hatari ya kutoweka.

Pia Nyalandu alikiuka sheria kwa kupuuza ukomo wa idadi ya vitalu vitano kwa kampuni moja. TGTS imemilikishwa vitalu vinane pamoja na eneo la wazi; hali ambayo ni ukiukwaji wa kifungu cha 38(7) cha Sheria ya Wanyamapori.

Kampuni hiyo pia ilipewa vitalu na Nyalandu kinyemela, ilhali sheria ikiagiza kuwa kitalu kinapobaki wazi sharti kitangazwe kwanza na waombaji washindanishwe katika mfumo na utaratibu ulio wa haki na uwazi [Kanuni ya Uwindaji wa Kitalii 18(1).

Pamoja na kutoa Leseni ya Rais, Wamarekani hao walileta watoto wadogo, chini ya umri wa miaka 18 kuwinda; jambo ambalo ni kinyume cha kifungu cha 43(3) cha Sheria ya Wanyamapori Namba 5 ya mwaka 2009.

FCF na kampuni tanzu imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama (Makao Ranch).

Kampuni ya Mwiba Holdings Ltd chini ya TGTS Ltd ambazo zinamilikiwa na Friedkin Conservation Fund (FCF) imekuwa ikiendesha shughuli za utalii kwenye eneo la Makao WMA tangu 2011 baada ya Mwiba Holdings Ltd kumilikishwa eneo jirani na WMA ya Makao kwa ajili ya shamba la mifugo na wanyama.

Hata baada ya kumalizika Mkataba wake na JUHIWAPOMA, kampuni ya Mwiba Holdings Ltd iling’ang’ania na kuendelea kukalia eneo la Makao WMA kwa mabavu na kinyume cha sheria.

Tutawaletea moja baada ya nyingine.
Utakuwa lemadolezii.......akiwa kwenu msafi akitoka mchafu....siku makodakta akihama chama chenu ndo mtaonyesha unafiki wenuu wa kumwita bashitee.....
 
Back
Top Bottom