Baada ya serikali Tanzania kuruhurusu Madaktari kwenda Kenya kutoa huduma, Je itakuwa tayari kuruhusu Walimu kwenda Kenya baada kugoma?

Baada ya serikali Tanzania kuruhurusu Madaktari kwenda Kenya kutoa huduma, Je itakuwa tayari kuruhusu Walimu kwenda Kenya baada kugoma?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Wanajamvi kama mtakumbuka serikali yetu ya Tanzania iliruhusu Madaktari watakaopenda kwenda kutoa huduma Tiba nchini Kenya, baada ya Madaktari nchini humo kufanya mgomo, wajitokeze na kuomba nafasi, baada ya kujitokeza ikaishia kimyakimya.

Swali ninalojiuliza kesho January 03 2019 shule zinafunguliwa nchini Kenya na taarifa zilizopo kwenye vyombo vya habari Waalimu nchini humo wataendesha mgomo, Je! Tanzania itakuwa tayari kuruhusu Walimu kuombakazi nchini Kenya.???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi kama mtakumbuka serikali yetu ya Tanzania iliruhusu Madaktari watakaopenda kwenda kutoa huduma Tiba nchini Kenya, baada ya Madaktari nchini humo kufanya mgomo, wajitokeze na kuomba nafasi, baada ya kujitokeza ikaishia kimyakimya.

Swali ninalojiuliza kesho January 03 2019 shule zinafunguliwa nchini Kenya na taarifa zilizopo kwenye vyombo vya habari Waalimu nchini humo wataendesha mgomo, Je! Tanzania itakuwa tayari kuruhusu Walimu kuombakazi nchini Kenya.???

Sent using Jamii Forums mobile app
ebu tikisa io kichwa yako kidogo
 
Wanajamvi kama mtakumbuka serikali yetu ya Tanzania iliruhusu Madaktari watakaopenda kwenda kutoa huduma Tiba nchini Kenya, baada ya Madaktari nchini humo kufanya mgomo, wajitokeze na kuomba nafasi, baada ya kujitokeza ikaishia kimyakimya.

Swali ninalojiuliza kesho January 03 2019 shule zinafunguliwa nchini Kenya na taarifa zilizopo kwenye vyombo vya habari Waalimu nchini humo wataendesha mgomo, Je! Tanzania itakuwa tayari kuruhusu Walimu kuombakazi nchini Kenya.???

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol. ..wanafunzi wa Kenya hawako tayari kusikia zezezezezeze
 
Back
Top Bottom