joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Del Monte, Kenyatta family na wanasiasa wa Kenya, wanashikilia zaidi ya 89% ya ardhi ya Kenya, jambo linaloifanya Kenya kuwa nchi yenye njaa kuliko zote hapa Africa.
Baada ya kugundua kwamba serikali ya Kenya inashirikiana moja kwa moja na wazungu kuwatesa na kuwadhulumu raia wake ardhi, genge la Mungiki ambalo ni genge katili na Mafia kutoka kabila teule la Kenya, limeamua kuwatetea wananchi wa kabila lao kwa kuwatisha wazungu ili kurudisha sehemu ya ardhi kwa wananchi.