Baada ya Serikali ya Kenya kushirikiana na wazungu kuwadhulumu wananchi ardhi, Mungiki waingilia kati kuwatisha wazungu

Baada ya Serikali ya Kenya kushirikiana na wazungu kuwadhulumu wananchi ardhi, Mungiki waingilia kati kuwatisha wazungu

Sauzi tuliwakomboa
Acheni kuharibu huu uzi. Kenya mpo na matatizo ya msingi kuhusu ardhi, nchi yenu ipo na shida kila eneo, inaonekama mumekata tamaa ya maisha, hamuwezi kutatua matatizo ya msingi ya nchi yenu badala yenu badala yake mbashabikia vitu visivyokua na maana.
 
Sauzi tuliwakomboa
Kwahiyo kama tuliwakomboa hatupaswi kulipa Madeni?, kumbe ndio sababu mumejipanga kukataa maamuzi ya ICJ endapo itaonekana Somalia ndio wamiliki halali wa Eneo la bahari mnalogambania kwa kigezo kwamba mnawasaidia kupiga na na Alshabaab, hovyo kabisa ninyi.
 
Njooni pia muwakomboe somalia...si nynyi ni ndo wakombozi wa africa
Kwahiyo kama tuliwakomboa hatupaswi kulipa Madeni?, kumbe ndio sababu mumejipanga kukataa maamuzi ya ICJ endapo itaonekana Somalia ndio wamiliki halali wa Eneo la bahari mnalogambania kwa kigezo kwamba mnawasaidia kupiga na na Alshabaab, hovyo kabisa ninyi.
 
Back
Top Bottom