Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran 😃😀.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
Unaweza kuficha lakini ogopa technology huwezi kuificha. Satellite zawaumbua Ayotollahs madhara yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege za Israeli 🤔
....
An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehran’s onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program.
Mleta mada wewe endelea kujifariji tu wakati Iran wamekimbilia UN kudai kuwa mashambulizi ya Israel yamewavua nguo (mifumo ya Iran ya usalama kuharibiwa vibaya), hivyo UN iwadhibiti haraka Israel.
Mleta mada wewe endelea kujifariji tu wakati Iran wamekimbilia UN kudai kuwa mashambulizi ya Israel yamewavua nguo (mifumo ya Iran ya usalama kuharibiwa vibaya), hivyo UN iwadhibiti haraka Israel.
Unaweza kuficha lakini ogopa technology huwezi kuificha. Satellite zawaumbua Ayotollahs madhara yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege za Israeli 🤔
....
An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehran’s onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program.
Mleta mada wewe endelea kujifariji tu wakati Iran wamekimbilia UN kudai kuwa mashambulizi ya Israel yamewavua nguo (mifumo ya Iran ya usalama kuharibiwa vibaya), hivyo UN iwadhibiti haraka Israel.
Israel ilipo shambuliwa na Iran haikuishia kulalamika bali ilifikia kumpiga marufuku katibu mkuu wa UN kuingia Israel kisa hajalaani mashambulizi hayo.
Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran 😃😀.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
Hivyo vichumachuma S-300 mlivyopewa na Urusi vimelipuliwa. Tatizo la Iran hawajajificha kwenye chaka la raia kama Hamas na Hezbollah. Kambi zao zimejitenga na watu Sasa wanaona aibu kueleza kuhusu hasara waliyopata🤔
...
Unaweza kuficha lakini ogopa technology huwezi kuificha. Satellite zawaumbua Ayotollahs madhara yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege za Israeli 🤔
....
An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehran’s onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program.
Vita ni kubwa kati ya unaosema wafuga majini na wanywa damu za watu yani mashetani ya freemason yanayo force kila mtu ayaabudu kwa kigezo cha kujiita wateuliwa wa mungu.
Wafuga majini ni marijali ndomaana wana uwezo wa kulala na wanawake 72 bila kuchoka. Halafu wanywa damu za watu wao ni mashoga (wafirwa, aji) ndomaana unaona hata kiongozi wao mkuu anajiita bibi badala ya babu 😂😂😂
So ukisimama upande wa wafuga majini wewe ni rijali mwenzao.
Ila ukisimama upande wa wanyonya damu wa freemason basi wewe ni mfirwa, aji.
Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.
Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.
Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran 😃😀.
Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.
Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.
Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will. Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao...
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will. Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao...
kwa kile tunachosema on the Israeli air raids into Iran day before yesterday. This was more than a precision strike, it was a clear demonstration of capability, intent and will. Hii ilikuwa zaidi ya historia ilofanyika kwa usahihi, ilikuwa onyesho wazi la uwezo, nia na mapenzi ya nchi yao...
Siku ya shambulizi la Israel Wananchi wa Iran wakiwa wanajaribu kutafuta hayo makombora yanayodaiwa kurushwa na Israel ila hawakufanikiwa kuona hata jiwe likipita juu ya anga
Unaweza kuficha lakini ogopa technology huwezi kuificha. Satellite zawaumbua Ayotollahs madhara yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege za Israeli 🤔
....
An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehran’s onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program.