Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kufeli, wafuasi wake hawaamini na wamebabaika

Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kufeli, wafuasi wake hawaamini na wamebabaika

Vita ni kubwa kati ya unaosema wafuga majini na wanywa damu za watu yani mashetani ya freemason yanayo force kila mtu ayaabudu kwa kigezo cha kujiita wateuliwa wa mungu.

Wafuga majini ni marijali ndomaana wana uwezo wa kulala na wanawake 72 bila kuchoka. Halafu wanywa damu za watu wao ni mashoga (wafirwa, aji) ndomaana unaona hata kiongozi wao mkuu anajiita bibi badala ya babu 😂😂😂

So ukisimama upande wa wafuga majini wewe ni rijali mwenzao.

Ila ukisimama upande wa wanyonya damu wa freemason basi wewe ni mfirwa, aji.

Wewe unasimama upande upi hapo?
Ila Wafrika mna akili finyu sana, mtu mmoja huyo mudi kawashikia akili zenu mpaka unaona fahari kufuga majini na unayaita ndugu zako. Mudi alikuwa mwarabu jiulize wew ni mwarabu? Una undugu gani na majini?
 
So mkuu na wewe ukifa utapewa hao mabikra 72 au ni kwa ajiri ya waarabu wenye dini yao? Mudi bingwa
Mkuu kisheria hauwezi kukimbilia kuuliza swali kabla ya kujibu kwanza swali.
Nimekuuliza swali kwenye post yangu namba 13, hivyo unatakiwa ujibu kwanza, halaf na wewe ndo uulize ujibiwe. Huo ndio uungwana. Usiige kila kitu cha kina Netanyahu na mungu wao wa Israel ambae hana msaada wowote kwako wewe mmatumbi mweusi tii kama sifuria ya masizi.
 
Kwa hiyo huo ndo ushahidi wako?
 
Mkuu kisheria hauwezi kukimbilia kuuliza swali kabla ya kujibu kwanza swali.
Nimekuuliza swali kwenye post yangu namba 13, hivyo unatakiwa ujibu kwanza, halaf na wewe ndo uulize ujibiwe. Huo ndio uungwana. Usiige kila kitu cha kina Netanyahu na mungu wao wa Israel ambae hana msaada wowote kwako wewe mmatumbi mweusi tii kama sifuria ya masizi.
Mimi huyo Mungu wa Waisraeli hanihusu kwani hanijui pia. Wew huyo mungu wa mudi anakuhusu nini mpaka anakuambia majini ni ndugu zako
 
Kwa hiyo huo ndo ushahidi wako?
 
Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.

Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.

Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran 😃😀.

Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.

Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.

Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.

View attachment 3136875
Iran imepigwa vibaya mno
 
Hizo image za zamani sana ume google

Screenshot_20241028-114629_Chrome.jpg
 
Mimi huyo Mungu wa Waisraeli hanihusu kwani hanijui pia. Wew huyo mungu wa mudi anakuhusu nini mpaka anakuambia majini ni ndugu zako
Hivi mkuu nikikwita wewe mpumbavu utasema nimekutukana? Ni wapi nilipoandika kuwa mimi ni mfuasi wa mudi au majini?

Inamaana mtu asipoiunga mkono Israel au kuipinga huyo unambatiza kuwa ni mfuasi wa mudi?

Kama ni hivyo mbona baba wa taifa mwl J. Nyerere alikuwa upande wa Palestina na aliipinga Israel wazi wazi mpaka kifo chake, je na yeye alikuwa mfuasi wa mudi? Mandela je na Bishop Desmond Tutu ambao waliichukia Israel live bila kupepesa macho na wao ni wa mudi?

Serikali ya Afrika kusini yenyewe imefungua mpaka kesi ya mauaji ya kimbali dhidi ya Israel na wao ni wa Mudi. Na kuna wazungu mpaka wayahudi ambao waliandamana huko US kupinga ukatili wa Israel dhidi ya wapalestina na wao ni wa mudi?

Au wewe kwako swala la Palestina na Israel unalichukulia kidini kiasi kwamba mtu akiipinga Israel kwako huyo ni Muislam, na akiipongeza Israel kwako huyo ni Mkristo?

Unaona mimi kwa sababu nina akili na uelewa mkubwa wa haya mambo, wala sijakuita wewe ni wa yesu cause naelewa kuwa hata muislam, mkristo au mtu asie na dini anaweza kuwa upande wa Israel au Palestina.

Mwl Nyerere aliwahi kusema kwamba siku zote mtu mjinga na mpumbavu akishindwa hoja, basi hukimbilia kujificha kwenye kichaka cha udini, rangi, jinsi nk. Hivyo wew ni mmoja wapo wa hao aliosema mwl Nyerere.
 
Hivi mkuu nikikwita wewe mpumbavu utasema nimekutukana? Ni wapi nilipoandika kuwa mimi ni mfuasi wa mudi au majini?

Inamaana mtu asipoiunga mkono Israel au kuipinga huyo unambatiza kuwa ni mfuasi wa mudi?

Kama ni hivyo mbona baba wa taifa mwl J. Nyerere alikuwa upande wa Palestina na aliipinga Israel wazi wazi mpaka kifo chake, je na yeye alikuwa mfuasi wa mudi? Mandela je na Bishop Desmond Tutu ambao waliichukia Israel live bila kupepesa macho na wao ni wa mudi?

Serikali ya Afrika kusini yenyewe imefungua mpaka kesi ya mauaji ya kimbali dhidi ya Israel na wao ni wa Mudi. Na kuna wazungu mpaka wayahudi ambao waliandamana huko US kupinga ukatili wa Israel dhidi ya wapalestina na wao ni wa mudi?

Au wewe kwako swala la Palestina na Israel unalichukulia kidini kiasi kwamba mtu akiipinga Israel kwako huyo ni Muislam, na akiipongeza Israel kwako huyo ni Mkristo?

Unaona mimi kwa sababu nina akili na uelewa mkubwa wa haya mambo, wala sijakuita wewe ni wa yesu cause naelewa kuwa hata muislam, mkristo au mtu asie na dini anaweza kuwa upande wa Israel au Palestina.
Nimekuelewa mkuu, nisamehe kwa comments za nyuma. Tuishie hapa na nimetambua makosa yangu
 
Nimekuelewa mkuu, nisamehe kwa comments za nyuma. Tuishie hapa na nimetambua makosa yangu
Ok mkuu, kifupi mimi ni kama wewe, siamini katika dini yoyote iliyoletwa na wakoloni wa kiarabu au kizungu sababu zilitumiwa kama kichaka cha kututawala na kutuibia. Ila katika sakata hili nimeamua kuwa upande wa Palestina kisiasa (sio kidini) nikiamini kuwa jamaa wanaonewa kama walivyoonewa ndugu zetu wengine waafrika huko Africa Kusini nk.

Huo ni mtazamo wangu mimi, lakini nina amini kuna watu wengine ambao pia hawana dini, ila wameamua kusimama upande wa Israel wakiamini kuwa wao ndio wana haki. So utaona sote tuna support pande tofauti kwa sababu za kisiasa tu na sio dini zao.
 
Nini hiki umenitumia?
 
Baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Iran kuzuiliwa na mifumo ya anga ya Iran inaoneka wafuasi wa taifa teule wa humu JF hawaamini ndo maana kila dakika wanaanzisha nyuzi za kujifariji.

Mara mifumo ya ulinzi ya Iran imeharibiwa ,mara viwanda vya makombora vimeharibiwa, mara warazimishe tuamini kuwa ndege za Israel ziliingia ndani ya anga la Iran wakati hata vyombo vya habari vya Israel vinaripot kuwa mashambulizi yanefanyika kutokea kwenye anga ya Iraq km 100 kutoka mpakani mwa Iran.

Lakini mpaka sasa hawajatuletea ushahidi wa hizo tumba wanazo ziandika humu. Na kuonesha wanavyo babaika wanatuwekea mpaka video za makombora ya Iran yakiipiga Israel na kudai ndo shambulizi la Israel dhidi ya Iran 😃😀.

Wote tumeshudia video za mifumo ya ulinzi ya Iran ikiyaangusha makombora sasa na nyinyi tuletee video ya makombora yakitua na kuharibu hivyo mnavyovisema.

Kwenye shambulizi la Iran October1 tuliona kwa macho yetu makombora yakipiga mpaka Marekani akarazimika kuleta mifumo yake baada ya kuona ya Israel ni takataka, sasa na nyinyi tuleteeni ushahidi acheni kuturazimisha tuamini mambo ya kusadikika.

Hata vyombo vya habari vya kimagharibi vinajaribu kulikuza shambulizi la Israel lakini kwenye comment watu wanavipa za uso.

View attachment 3136875
Hiyo mifumo ya ulinzi ya Iran imezuia nini sasa? Mbona ndege zote zilirudi salama? Waliletewa makombora feki angani wakawa wanashughulika nayo wakati wazee wa kazi wakifanya yao. Wanashangaa milipuko ikitokea maeneo mengine bila taarifa. Iran imejeruhiwa vilivyo. Na wakijaribu kulipiza kisasa inapigwa maeneo ya kurutubisha uranium na kuusambaratisha mpango wao wa kutengeneza silaha za Nyuklia.
 
Nimekuelewa mkuu, nisamehe kwa comments za nyuma. Tuishie hapa na nimetambua makosa yangu
Kusamehewa sio issue, issue ni wewe kwenda hospitali ya karibu iliyo na mtaalamu wa maradhi ya akili, kuomba msamaha hakuwezi kutatua tatizo lako, tatizo lako ni kubwa sana kutatuliwa na msamaha wa mwanachama wa JF mwenye ID fake!
 
Hizo image za zamani sana ume google
Naona wavaa vipedo, misuli na makobazi hamuamini 🤔
.....

Mideast Wars Iran Damage​

This satellite photo from Planet Labs PBC shows damaged buildings at Iran's Parchin military base outside of Tehran, Iran, Sunday, Oct. 27, 2024. An Israeli attack on Iran damaged facilities at a secretive military base southeast of the Iranian capital that experts in the past have linked to Tehran's onetime nuclear weapons program and at another base tied to its ballistic missile program, satellite photos analyzed Sunday by The Associated Press show. The damaged structures are in the bottom right corner and bottom center of the image. (Planet Labs PBC via AP)
ASSOCIATED PRESS
Less
 
Kusamehewa sio issue, issue ni wewe kwenda hospitali ya karibu iliyo na mtaalamu wa maradhi ya akili, kuomba msamaha hakuwezi kutatua tatizo lako, tatizo lako ni kubwa sana kutatuliwa na msamaha wa mwanachama wa JF mwenye ID fake!
Sasa mkuu huoni kama kuomba msamaha ni njia ya kuonyesha uungwana? Au wewe kwako unaona ni bora kukaza fuvu wakati unakwaza mtu mwingine?
 
Back
Top Bottom