Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa CHADEMA Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Muliro awalipe Polisi wa Watu, Askari wa Watu wako Mjini hawajapewa hata Mia Hadi muda huu.

Wataanza kujiuza Mjini hapa. Walipeni stahiki zao
 
Wewe na Mnyika mmewasaliti viongozi wenu! Mmeingia mitini
 
Kama kweli walikuwa na nia ya kweli ya kuandamana na siyo usanii watangaze kuendelea na maandamano hapo kesho
 
safi sana acha wazungu waendelee kutawala dunia.
 
Ahahahahaha! Sasa hamna tena cha "Samia must go" ila mnashangalia eti akina Mbowe kutoka lupango! Ahahahahaha!!! KUMBAVU!!
 
Mkuu wew uliachiwa muda gani mbona muda wote nakuona JF au huko mahabusu ulipewa simu?
 
Mama Samia ni msikivu na muungwana sana atakaa nao na kuelewana kulijenga taifa pamoja. Namshauri arithia kuongoza pamoja kama ili kuondoa uhasama Utanganyika na Uzanzibar.
 
Kwa nilichokiona Redbrigade iimarishwe zaid ili kulinda viongozi kukamatwa kimchezomchezo, ni Bora kuwaomba hata wanaoitwa mabeberu wawatrain vijana wetu, nchi hii ilipofka ni matumizi ya nguvu TU ndio muafaka
 
Hawajui watupe kesi gani, Muliro hana uwezo na tutahakikisha anang'olewa Dar es Salaam, Tupe wiki moja tu
Angalau na wewe ungeunganishwa na mbowe halafu uachiwe ila upo nyumbani kwako unahimiza maandamano hii si sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…