Farid Kubanda, mzee wa Mwanza Mwanza kaendelea kutikisa jiji kwa mikito yake heavy yenye line kali zilizoshiba ambazo bila kutumia akili kuzichanganua ni lazima akuache njiani. huu ni wimbo wake mwingione baada ya ule wa SUMU. Ngoma inaitwa "roho" kwenye kiitikio yupo yule king of the best melodies, ukiwa ni mkono wake P funk Majani. waungwana kila nikijaribu ku upload nashindwa mwenye ujuzi anisaidie.
Nilipoisikiliza SUMU nikasema hapa Farid ndio amefika kwenye kilele cha ubora wake ila nilipoisikiliza ROHO nikaamini Farid bado ana mengi sana ya kutushangaza.
beat kali, verse na michano mikali ila chorus mfalme wa masauti kazingua kiasi flani japo fidq alikuwa anatafuta utofauti wa radha... huwa namuona rama d, g nako, belle 9 au jux kwenye chorus hii..na sio huo jamaa
all in all kazi nzuri pia