Baada ya Syria, je, utawala wa Iran utafuata na kuanguka?

Baada ya Syria, je, utawala wa Iran utafuata na kuanguka?

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Kwa wapinzani Iran, kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad ni muhimu kwa sababu Syria imekuwa msingi wa kimkakati kwa Iran katika kanda hiyo. Baada ya anguko la Assad huko Syria, je utawala wa Iran pia utaanguka?


Iran I Kiongozi wa kidini Ayatollah Ali Khamenei
Matukio nchini Syria yaibua wasiwasi kote Iran, hata kumfanya Khamenei kutoa taarifa kwa umma.
Matangazo

Kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad nchini Syria, kumepokelewa kwa mchanganyiko wa matumaini na tahadhari. Wengi wa wapinzani ndani ya Iran waliokatishwa tamaa na utawala wao wa kimabavu wa uongozi wa Kiislamu, wanalinganisha uwiano kati ya mapambano yao na ya watu wa Syria.

Kwa raia wengi wa Iran, Syria imekuwa msingi wa mkakati wa kikanda wa Tehran, ikiashiria sio tu ushawishi wa kijiografia lakini pia mfano wa pamoja wa ustahimilivu dhidi ya utawala wa kimabavu.

Kwa hivyo, matukio ndani ya Syria yanahisiwa katika nyanja zote ikiwemo ya kijamii na kisiasa ndani ya Iran.
Kuondolewa kwa Assad kumefufua matumaini miongoni mwa Wairani wapinzani, kuhusu uwezekano wa kutokea mabadiliko nchini mwao, hasa baada ya serikali ya Iran kulikandamiza kikatili vuguvugu lililotetea haki na uhuru wa wanawake. Ukandamizaji uliosababisha vifo vya mamia na maelfu ya wengine kufungwa jela.
 
Kwa wapinzani Iran, kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad ni muhimu kwa sababu Syria imekuwa msingi wa kimkakati kwa Iran katika kanda hiyo. Baada ya anguko la Assad huko Syria, je utawala wa Iran pia utaanguka?


Iran I Kiongozi wa kidini Ayatollah Ali Khamenei
Matukio nchini Syria yaibua wasiwasi kote Iran, hata kumfanya Khamenei kutoa taarifa kwa umma.
Matangazo

Kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad nchini Syria, kumepokelewa kwa mchanganyiko wa matumaini na tahadhari. Wengi wa wapinzani ndani ya Iran waliokatishwa tamaa na utawala wao wa kimabavu wa uongozi wa Kiislamu, wanalinganisha uwiano kati ya mapambano yao na ya watu wa Syria.

Kwa raia wengi wa Iran, Syria imekuwa msingi wa mkakati wa kikanda wa Tehran, ikiashiria sio tu ushawishi wa kijiografia lakini pia mfano wa pamoja wa ustahimilivu dhidi ya utawala wa kimabavu.

Kwa hivyo, matukio ndani ya Syria yanahisiwa katika nyanja zote ikiwemo ya kijamii na kisiasa ndani ya Iran.
Kuondolewa kwa Assad kumefufua matumaini miongoni mwa Wairani wapinzani, kuhusu uwezekano wa kutokea mabadiliko nchini mwao, hasa baada ya serikali ya Iran kulikandamiza kikatili vuguvugu lililotetea haki na uhuru wa wanawake. Ukandamizaji uliosababisha vifo vya mamia na maelfu ya wengine kufungwa jela.
Kituo kinachofuata ni Iran,kisha North Korea
 
Inavyoonekana huu mwaka tunaoanza wiki mbili zijazo utakuwa ni mwaka muhimu sana kwa taifa la Iran na ndio mwaka utakaoamua mustakbali wa taifa hilo linalotawaliwa kimabavu na serikali inayojiita ya kidini.
 
Inavyoonekana huu mwaka tunaoanza wiki mbili zijazo utakuwa ni mwaka muhimu sana kwa taifa la Iran na ndio mwaka utakaoamua mustakbali wa taifa hilo linalotawaliwa kimabavu na serikali inayojiita ya kidini.
Kabisa
 
Back
Top Bottom