Baada ya Syria ya Assad Je, sasa ni zamu ya Egypt ya Sisi ? Movement ya kumtoa madarakani yahofiwa kuanza

Baada ya Syria ya Assad Je, sasa ni zamu ya Egypt ya Sisi ? Movement ya kumtoa madarakani yahofiwa kuanza

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Sio rahisi Sis nimtu wao anauwezo mkubwa kiasi hao jamaa wataliwa vichwa hata kabla ya vita. Mapandikiz ya iran hayo
Hawa HTS ni wassuni sio washia hata watakachopigania ni kusimikwa utawala wa kissuni no way Iran mshia ata waunga mkono kwa kuweka utawala wa kissuni Egypt.

HTS nao kwa sasa wana uhusiano mzuri mtu na mataifa ya magharibi hata vile vikwazo vya mwanzo wameviondosha
 
Sasa General Al Sisi ana athari Gani mbaya Kwa wamagharibi?
Sisi ni loyalist wa Israel.
Ni loyalist wa EU.
Ni loyalist wa US..
Kila kitu ni ndio. Na hata hapo Syria Egypt alikuwa mpinzani wa al Assad.
 
Sasa General Al Sisi ana athari Gani mbaya Kwa wamagharibi?
Sisi ni loyalist wa Israel.
Ni loyalist wa EU.
Ni loyalist wa US..
Kila kitu ni ndio. Na hata hapo Syria Egypt alikuwa mpinzani wa al Assad.
Labda amechokwa maana nao hawa HTS wanaungwa mkono na magharibi na sasa ndio wa moto moto
 
Labda amechokwa maana nao hawa HTS wanaungwa mkono na magharibi na sasa ndio wa moto moto
Nb.
Waarabu watachezeshwa sindimba miaka hii vibaya. Bahati nzuri hawamjui adui Yao. Wanapigana wao Kwa wao tu. HTS wanahangaika na Al Sisi huku wanajisahaulisha ardhi Yao imemegwa juzi na Israel na hawana mpango wa kuipigania.
Aibu kubwa nchi yako imetwaliwa ardhi yake we badala ya kuipigania unahangaika na visivyokuhusu.
Poleni waarabu
 
HTS yenyewe imejaa wachina, wasaudia,waturkmenistan, Armenians na wachenchen.
Ajabu!
Yaaah upo sahihi Syria tu Assad ajaondoshwa na wasyria kwa asilimia kubwa bali wapiganaji wa nje.

Na wa Uyghur waliopo HTS wanampango wa kwenda China kuikomboa Xinjiang na hawa wengine wanataka kuikomboa Egypt toka kwa utawala wa Sisi ni mvurugano kila kona
 
Hamjui al sisi huyo

Al sis. Anadamu ya yedea

Kwahiyo al sis akijegemeza kwa mayahud itakuwa mtihan mkubwa kwa icho kikundi
Yote yanawezekana au kuna mchezo unachezwa au Sisi kachokwa yote yanawezekana na hawa HTS wamejaza mercenary balaa hata huyu Jolani wa Syria pia hakuna uhakika mkubwa kama ni msyria
 
Nb.
Waarabu watachezeshwa sindimba miaka hii vibaya. Bahati nzuri hawamjui adui Yao. Wanapigana wao Kwa wao tu. HTS wanahangaika na Al Sisi huku wanajisahaulisha ardhi Yao imemegwa juzi na Israel na hawana mpango wa kuipigania.
Aibu kubwa nchi yako imetwaliwa ardhi yake we badala ya kuipigania unahangaika na visivyokuhusu.
Poleni waarabu
Inashangaza na kufurahisha Jolani yupo kimya tu anazidi kupokea tu viongozi kutoka ulaya na kusisitiza amani na Israel au labda anajipanda tusubiri tuone
 
Yote yanawezekana au kuna mchezo unachezwa au sisi kachokwa yote yanawezekana na hawa HTS wamezaa mercenary balaa hata huyu Jolani wa Syria pia hakuna uhakika mkubwa kama ni msyria
Subir tuone
 
Inashangaza na kufurahisha Jolani yupo kimya tu anazidi kupokea tu viongozi kutoka ulaya na kusisitiza amani na Israel au labda anajipanda tusubiri tuone
Jolan anaonekana ni mtata Sana ameficha makucha kumbuka bado kijana mdogo Sana
Huyu atakuwa nyambizi kuliko hata gadaf na sadam😀😀😀
 
Jolan anaonekana ni mtata Sana ameficha makucha kumbuka bado kijana mdogo Sana
Huyu atakuwa nyambizi kuliko hata gadaf na sadam😀😀😀
Yote yanawezekana ila anavyojiweka na sura yake ile ya upole unaweza sema ni mtu fulani hivi mstaarabu sana labda kaficha makucha yake
 
Back
Top Bottom