Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Hapana sehemu nimeongelea khs kufa na makaburi.Huko kwenu hamfi; kwenu hakuna makaburi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sehemu nimeongelea khs kufa na makaburi.Huko kwenu hamfi; kwenu hakuna makaburi.
Sikutegemea kama ungeelewa!Hapana sehemu nimeongelea khs kufa na makaburi.
Ili Nalo neno mkuuMuslim brotherhood hao wamekuja Kwa njia nyingine ngoja tuone mwisho utakuwaje.
Sijawai elewa maishani mwangu,ni kilaza wa kutupwa.Sikutegemea kama ungeelewa!
Shida ya jamiiforum ya siku hizi imejaa ushabiki tu badala ya nondo kama zamani, mpaka nafika hapa comment ya 24 sijaona uchambuzi wowote wa kina
Je misiri Kuna shida gani mpaka jamaa wanataka kupindua meza wanataka nini hao jamaa? Wanataka sharia za kiislamu au wanataka Uhuru wa watu wote au ni fujo tu kama za mbowe kulazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti chadema wakati hana jipya?
Pascal Mayalla gTurn Mohamed Said Malaria 2
Ufisadi wizi rushwakwani hapa Tanzania kuna shida gani hata watu wanataka CCM iondoke ??
Na huko ndiyo nyumbani kwake hayo yote na zaidi ya hayoUfisadi wizi rushwa
Akijifanya mjanja basi mchezo unaweza ukarudiwa Syria.Jolan anaonekana ni mtata Sana ameficha makucha kumbuka bado kijana mdogo Sana
Huyu atakuwa nyambizi kuliko hata gadaf na sadam😀😀😀
......Si wengine wanadai kwa nini wamekataa mahakama ya kadhi.kwani hapa Tanzania kuna shida gani hata watu wanataka CCM iondoke ??
Hiyo njia ya kumtoa kwa mabomu na bunduki ni sahihi?Na huko ndiyo nyumbani kwake hayo yote na zaidi ya hayo
Misri hali ya uchumi sio sema media zimebwanwa sana asikuambia mtu watu wanasafocate sana na mkusanyiko wowote ule unashangaa wwtu wa usalama wameshaafika .. sema huwezi sikia kokote kwa kuwa isis ni mtu wao na anahingwa ili kuhakikisha israel inakuwa salamaShida ya jamiiforum ya siku hizi imejaa ushabiki tu badala ya nondo kama zamani, mpaka nafika hapa comment ya 24 sijaona uchambuzi wowote wa kina
Je misiri Kuna shida gani mpaka jamaa wanataka kupindua meza wanataka nini hao jamaa? Wanataka sharia za kiislamu au wanataka Uhuru wa watu wote au ni fujo tu kama za mbowe kulazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti chadema wakati hana jipya?
Pascal Mayalla gTurn Mohamed Said Malaria 2
Kwani yeye ndo anaenda front?Al sisi ni mbabe mno. Jinsi alivyovunja lile vuguvugu la maandamano kibabe kwa kuwakamata na kuwahukumu kifo wale viongozi wa maandamano.
Kumtesa yule kiongozi aliyepinduliwa mpaka akafia jela, watamuweza kweli?
Kwani mahakama ya kadhi ndiyo inatoa ajira ?......Si wengine wanadai kwa nini wamekataa mahakama ya kadhi.
Ndivyo Lisu na Mbowe wanavyosema ?......Si wengine wanadai kwa nini wamekataa mahakama ya kadhi.
Aingiaye kwa upanga hutoka kwa upangaHiyo njia ya kumtoa kwa mabomu na bunduki ni sahihi?
Usa wakishaamtumia kwa niaba ya israel wanamtupa kianaandaliwa kikundi na kianaoewa sapoti ya kutoshaAl sisi ni mbabe mno. Jinsi alivyovunja lile vuguvugu la maandamano kibabe kwa kuwakamata na kuwahukumu kifo wale viongozi wa maandamano.
Kumtesa yule kiongozi aliyepinduliwa mpaka akafia jela, watamuweza kweli?