Baada ya taifa stars kutolewa kwenye mashindano ya afcon 2019, njoo hapa tuikosee na kuishauri taifa stars

Baada ya taifa stars kutolewa kwenye mashindano ya afcon 2019, njoo hapa tuikosee na kuishauri taifa stars

Tatizo soka letu linaendeshwa kisiasa hii ni shida sana
 
Kichwa cha mwenda wazimu bado hawajachukua maamuzi yoyote kurekebisha soka letu.
 
Mimi binafsi ningeishauli tuwekeze zaidi katika soka la vijana kwani ndio njia sahii kuwatoa vijana kwenda kwenye ligi kubwa ulaya kwasababu kwetu hapa tuanza kumjua mchezaji tayari amesha kuwa over 27 katika soka la ushindani tutaferi tuu

Mkuu mpira watu wafundishwe kama hawataki kuelewa hakuna kucheza.

Yaani akili ya mpira wachezaji hawana wanachojua ukiwa na mpira wewe peleka mbele huko.
 
Viongozi wote wa michezo hapa Tanzania ni vilaza, hawana vision na ni wababaishaji
 
Falsafa ya kubutua mpira uende mbele Sijui wamefundishwa na nani. Kwamba Wapinzani wakipokonywa mpira na nyinyi basi mnawarudishia tena ili waendelee kuuchezea nyie muwakabe. Kasumba mbaya sana hii aisee...

[emoji23][emoji23][emoji23].

Ukiwakuta kwenye mazoezi muda wote wanapiga pasi ukija kwenye Mechi hakuna kitu

Muda wote wanakaba na formation wanaocheza ni 4-5-1 yaani wote wako nyuma namba 9 yuko mbele peke yake.

Najiulizaga hakuna mfumo mwingine wa kucheza mpaka huo.
 
Back
Top Bottom