Baada ya Taliban kuichukua Afghanistan, Al-Shabaab nao waongeza juhudi za kujilipua mabomu

Nasikia kuna aya katika Kurani inasema kabla mtume hajafariki aliamurisha kuuliwa kwa wale wote wasioamini kuelekea siku za mwisho labda wasalimu amri kwa kuamini.
 
Ongoza vyote vya duniani Ila ukfika kwa waislam weka kituo kikubwa pumzika kisha rudi kuongoza tena ulpotoka km hutaki uwe mbolea chapu.hili chama sihami 4rever
 
hicho kimwanajeshi kilivyo duh , i think ndo mana shda haziishi ,afya yao n 0
 
Mkuu nisaidie kukipata hicho kitabu mahala kinapatikana....
 
Uislamu unafundisha kuua,kujilipua na ndio maana hata masheikh hutawahi wasikia wakikemea hata siku moja kwa maana wanajua kukemea ni kwenda kinyume na mungu wao aliyeasisi hayo.
Uislamu haujafundisha kuua,kwanza ni haraam kuua nafsi iliyoharamishwa)rejea madhambi saba yenye kuangamiza.....!

KAMA KUUA BASI YESU ALIRUHUSU KUWACHINJA MAADUI ZAKE
REJEA KAULI YAKE ALIPOSEMA

Luka 19:27, ambayo inasema: Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.​

 
Hivi Hakuna namna yakuibadilisha hiyo Quran, yale mafunzo ya mauaji yakafutwa kabisa
 
Nguvu za nn wakat ukweli unasemwa kila leo
Endeleeni kua brain washed aminini mnachokiamini
No-more

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mbna nyie hamuoani kama wanavyoana dini ilipo anzia kwao
Nyie endeleeni kua brain washed

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sasa huko kujilipua ndani ya soko na kuua akina mama nitilie ndio kukomesha mabeberu? Hehehe!! Mna matatizo hata shetani mwenyewe anawashangaa....
Wapumbavu tu na dini yao ng'ombe hawa
 
mkuu hao hao CIA FBI nk ndio hao hao wanaowafadhili hao Saudia ambao umewataja nawao wamewataja kama wafadhili wakubwa waugaidi
1.saudia anadhamini kiwango kikubwa cha silaha na mataifa gani kama sio hao hao wanaosema kama anafadhili ugaidi nabado wanampa silaha zakazi gani kama wao hawatetei nakusapoti ugaidi!?
2.ugaidi ni nini ama unatokana na nini ama dini tu ndio inayosababisha ugaidi na magaidi ku
3.kila mtu anaetangazwa gaidi na US navibaraka wake anaweza akawa gaidi maana tumeona kuna nyakati mpaka watu kama kina mandela tuliaminishwa kua magaidi halaf baadae tukaaminishwa kua watu wema kupindukia
Brainwashed tatizo kubwa sana asee US nawengineo wanaweza kuyafanya maslahi yao kua halali hata kama haramu namfano wake na hata halali anaweza akaifanya haram mfano mdogo kama aliweza kuivamia IRAQ kwakigezo kwamba wanasilaha za maangamizi nahatimae hazijaonekana huyu mtu anaaminikaje tena
IRAN hajawahi nahatawahi kusapoti ugaidi muungaji mkono namba moja waugaidi duniani ni USA+NATO na vibaraka wao kama ISRAEL SAUDIA nk

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Alshabab mwingine huyu,mfia dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…