Baada ya Taliban kuichukua Afghanistan, Al-Shabaab nao waongeza juhudi za kujilipua mabomu

Upo sahihi, na watu wanachojisahaulisha ni kuhusu swala la Vita kati ya watu katika nchi halijaanza Sasa Wala kwasababu ya dini Fulani ila ni mambo yapo kitambo mfano Daudi na Goliath, kikubwa nikuombea Haki na Amani katika nchi zetu Ili kusitokee watu wakajipanga kutafuta Haki na Amani kwa njia ya mapigano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…