Elections 2010 Baada ya tamko zito la Dr. Slaa, Chadema sasa yatakiwa kutoa takwimu zao za Urais...

Elections 2010 Baada ya tamko zito la Dr. Slaa, Chadema sasa yatakiwa kutoa takwimu zao za Urais...

nina taarifa za karibu,jumla ya kura za ubunge na uraisi kwa bukoba mjini zina tofauti ya elfu ishirini.

sasa sijui hizo elfu ishirini kwenye ubunge zimeharibika au Vipi?

na sehemu nyingi pia jamaa data wanazo

Tofauti iliyopo ni elfu ishirini na ushee,na katika hilo za ubunge hapo ndio nyingi kwa idadi ya elfu sitini na nane wakati urais ni ni elfu arobaini na tano,sasa hapa walopiga kura za ubunge walitokomea wapi na kumnyima rais wao hizo 23,000?

halafu tafuta za Monduli ndo utacheka ufe.
 
tofauti iliyopo ni elfu ishirini na ushee,na katika hilo za ubunge hapo ndio nyingi kwa idadi ya elfu sitini na nane wakati urais ni ni elfu arobaini na tano,sasa hapa walopiga kura za ubunge walitokomea wapi na kumnyima rais wao hizo 23,000?

Halafu tafuta za monduli ndo utacheka ufe.

this is the kind of information we would like to have can you give au the source so that we all share this information.
 
Ndugu Kasheshe, Dr. wa kweli hataki kutupeleka vitani ndiyo maana mara kwa mara amesisitiza wananchi kutunza amani iliyopo. Anachotaka Dr. wa kweli ni matokeo halisi ya kura za urais na siyo yaliyochakachuliwa na mafisadi. Atakayefanya nchi hii iwe kama ilivyokuwa Angola enzi za Savimbi ni hao mafisadi wa CCM(including J.K) ambao wanalazimisha kuitawala nchi wakati wananchi wengi wamewakataa. Wanachohitaji si uongozi ila ajira zao na familia zao.
 
Ndugu Kasheshe, Dr. wa kweli hataki kutupeleka vitani ndiyo maana mara kwa mara amesisitiza wananchi kutunza amani iliyopo. Anachotaka Dr. wa kweli ni matokeo halisi ya kura za urais na siyo yaliyochakachuliwa na mafisadi. Atakayefanya nchi hii iwe kama ilivyokuwa Angola enzi za Savimbi ni hao mafisadi wa CCM(including J.K) ambao wanalazimisha kuitawala nchi wakati wananchi wengi wamewakataa. Wanachohitaji si uongozi ila ajira zao na familia zao.

Hakuna zaidi ya maslahi yao binafsi,wanafikiri Tz imebinafsishwa kwao na familia zao,DR.Halali anataka haki itendeke.JK U Dr wakupewa kwenye Yahoo hata utekelezaji wake unajionyesha.watu wamegoma kwa kibox(kura) kwann watumie mabavu? Kwnn kupoteza pesa zote za uchaguzi wkt watoto hawana madatawati kama matokeo ya uchaguzi wanakua wanayajua?
 
Nafikiri savimbi wetu hapa ni huyu mkwere.Ila kwa swala la madai ya Dr naamini takwimu anazo kwa anayejua historia huwa hababaishi anapoleta tuhuma,tatizo tume imekataa kusimamisha kutangaza sasa wakimaliza maanake ndo tushaliwa.
 
nyerere alishasema 'mtu yeyote anaepigania kuingia ikulu kwa gharama yoyote ile,ni wa kumwogopa kma ukoma'
alaf ujue kuna wa2 wengine wame enda skul bt inaonekana elim yao bdo haija wasaidia,Hvi inakua je m2 na degree/masters n.k unakishadadia chama cha mafisadi?Ina maana huoni maisha ya mtanzania yalipo saiv?
ninasikitika sna kumwona m2 msomi kakaa clas kma 15-20 yrs bado anaikubali ccm,shame on u,mi nina wasiwas na utendaji wa kazi wa hawa ccm folowaz. . . !
Na members wa hmu Jf muache kuwa kma hamjaenda skul,jus say by 2 ccm,2waachie babu ze2 wanaojua bdo nyerere z alive. . . !
Jus a piece of my mind dis evenin . . . . . . . !
 
Back
Top Bottom