Baada ya Tanzania kuruhusu michezo na watu kujaa viwanjani, Kenya nayo yaamua kuiga kwa kuruhusu michezo

Baada ya Tanzania kuruhusu michezo na watu kujaa viwanjani, Kenya nayo yaamua kuiga kwa kuruhusu michezo

Shughuli za michezo ‘kufufuliwa’ tena Kenya

muungwana.co.tz 4h

Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwaImage caption: Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwa

Shughuli za michezo zinatarajiwa kufunguliwa tena nchini Kenya katikati ya mwezi wa Septemba.

Hii ni baada ya serikali kutoa muongozo wa awali wa namna matukio ya michezo yatakavyokuwa yakifanyika kufuatia kufungwa mwezi Machi kutokana na COVID-19.

Baadhi ya wanariadhawalikua tayari wameanzakushiriki mashindano ya kimataifana sasa Wizara ya michezo nchibni inatarajiwa kufungua tena mashindano ndani ya nchi.

Kulingana na Mapendekezo ya awali juu ya udhibiti wa viwanja, mazoezi na mpangilio wa mashindano Vitatathminiwa na mashirikisho.

Mpanglio huo ni pamoja na uchunguzi na vipimo vya afya vitakavyochukuliwa kwenye maeneo yote ya kuingilia kwenye matukio ya michezo, uvaaji wa barakoa kwa wanamichezo wakati wote na udhibiti wa vyumba vya kubadilisha jezi katika maeneo ya matukio ya michezo. Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu pia ni marufuku.

===

MY TAKE: Taratibu Jirani akili zinaanza kuwarudia. Tanzania hoyeeeeeeee

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Haya majitu nimeyadharau sana, they don’t use brain. They use COVID 19 as money generator
 
1598539866690.png
 
Shughuli za michezo ‘kufufuliwa’ tena Kenya

muungwana.co.tz 4h

Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwaImage caption: Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwa

Shughuli za michezo zinatarajiwa kufunguliwa tena nchini Kenya katikati ya mwezi wa Septemba.

Hii ni baada ya serikali kutoa muongozo wa awali wa namna matukio ya michezo yatakavyokuwa yakifanyika kufuatia kufungwa mwezi Machi kutokana na COVID-19.

Baadhi ya wanariadhawalikua tayari wameanzakushiriki mashindano ya kimataifana sasa Wizara ya michezo nchibni inatarajiwa kufungua tena mashindano ndani ya nchi.

Kulingana na Mapendekezo ya awali juu ya udhibiti wa viwanja, mazoezi na mpangilio wa mashindano Vitatathminiwa na mashirikisho.

Mpanglio huo ni pamoja na uchunguzi na vipimo vya afya vitakavyochukuliwa kwenye maeneo yote ya kuingilia kwenye matukio ya michezo, uvaaji wa barakoa kwa wanamichezo wakati wote na udhibiti wa vyumba vya kubadilisha jezi katika maeneo ya matukio ya michezo. Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu pia ni marufuku.

===

MY TAKE: Taratibu Jirani akili zinaanza kuwarudia. Tanzania hoyeeeeeeee

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Akili za kukopi chi za magharibi changanya na zako
 
Shughuli za michezo ‘kufufuliwa’ tena Kenya

muungwana.co.tz 4h

Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwaImage caption: Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu ni marufuku. kwa mujibu wa muongozo unaopendekezwa

Shughuli za michezo zinatarajiwa kufunguliwa tena nchini Kenya katikati ya mwezi wa Septemba.

Hii ni baada ya serikali kutoa muongozo wa awali wa namna matukio ya michezo yatakavyokuwa yakifanyika kufuatia kufungwa mwezi Machi kutokana na COVID-19.

Baadhi ya wanariadhawalikua tayari wameanzakushiriki mashindano ya kimataifana sasa Wizara ya michezo nchibni inatarajiwa kufungua tena mashindano ndani ya nchi.

Kulingana na Mapendekezo ya awali juu ya udhibiti wa viwanja, mazoezi na mpangilio wa mashindano Vitatathminiwa na mashirikisho.

Mpanglio huo ni pamoja na uchunguzi na vipimo vya afya vitakavyochukuliwa kwenye maeneo yote ya kuingilia kwenye matukio ya michezo, uvaaji wa barakoa kwa wanamichezo wakati wote na udhibiti wa vyumba vya kubadilisha jezi katika maeneo ya matukio ya michezo. Kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana na kusherehekea timu pia ni marufuku.

===

MY TAKE: Taratibu Jirani akili zinaanza kuwarudia. Tanzania hoyeeeeeeee

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
oyeeee
 
Back
Top Bottom