Baada ya Tatoo ya Jina, Nuhu Mziwanda achora tatoo yenye sura ya Shilole

kwa raha zake wala Hagombwi,amefanya inavyompendeza, I hope tayari anayo Plan B incase wakiachana atajua cha kufanya,mi sioni shida ,ajichore tu hata papuchi aichore

Hahahaaaaa kweli wewe ni baunsa...achore hadi papuchi jamani???
 
Huyu nae akili zake za kushikiwa.Huyo mwanamke siku akimuacha anabaki kulia kulia kama yule wa dida
 
Utoto unamsumbua tu!nani alisema kujitoboa toboa ndio kuonyesha mapenzi ya kweli?ngoja akue kue aanze kujuta
 
Heaven umenichekesha hhhhhhhhaaaaaa
 
Mi kati ya makitu ambayo siwezi kujichora na hayo matatoo majority ya watu wanaiga huyu Mziwanda ana mambo kweli siku wakiachana sijui atafanyaje limbukeni wa mapenzi
 
Picha ya tatoo na maneno ya shishi baby Moderator iweke page ya mwanzo attachment

Huyu kijana angekuwa ni mdogo wangu ningehakikisha namtandika makofi matatu ya nguvu ili kumzinduwa.

Mwanamke anamcholesha vibaya, eti analilia mapenzi mara sijui kaniganda, huyu mwanaume hawezi kuwa na sauti kwenye mahusiano hayo.
 
Last edited by a moderator:
Sasa Nuhu ni mbana pua tu anahonga epo

Yani huwa nakaonea huruma maana naona ugumu wa maisha au kutaka mambo makubwa ndio unamfanya awe vile.Hata hilo apple mpaka hela apewe na bi mkubwa
 
Yani huwa nakaonea huruma maana naona ugumu wa maisha au kutaka mambo makubwa ndio unamfanya awe vile.Hata hilo apple mpaka hela apewe na bi mkubwa

Ndio hivyooo eeeee atajijuuuuuu
 

Heaven on Earth nakufananisha na mdada mmoja hivi mwandishi wa habari wa bamaga pale au ndio wewe? sina nia mbaya lakini kuuliza hivi.
 
Last edited by a moderator:
Huyu kijana angekuwa ni mdogo wangu ningehakikisha namtandika makofi matatu ya nguvu ili kumzinduwa.

Mwanamke anamcholesha vibaya, eti analilia mapenzi mara sijui kaniganda, huyu mwanaume hawezi kuwa na sauti kwenye mahusiano hayo.

Hahahaaaa usimcheke mkuu huwezi jua anapewa nini ambacho na wewe ungepewa tungekushangaa!!!
 
Hahahaaaa usimcheke mkuu huwezi jua anapewa nini ambacho na wewe ungepewa tungekushangaa!!!

Kumbe!! ........

To me nitampenda mwanamke kwa sababu anastahili kupendwa lakini siyo kupagawa, na sidhani kama kuna jipya kwa mwanamke la kunipagawisha.
 
Kumbe!! ........

To me nitampenda mwanamke kwa sababu anastahili kupendwa lakini siyo kupagawa, na sidhani kama kuna jipya kwa mwanamke la kunipagawisha.

Wacha weeeee >>maumivu makaliiii aiseee
 
Kumbe!! ........

To me nitampenda mwanamke kwa sababu anastahili kupendwa lakini siyo kupagawa, na sidhani kama kuna jipya kwa mwanamke la kunipagawisha.

Mpwa nipe nafasi uone nitakavyokupagawisha.....
mbona utachora sura yangu tu LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…