Sasa kaz imebaki kwa heslb,,,,kuwatia presha hawa jamaa ni kitu cha muhimu sana,,,wanajamv,,,,maana ili jukwaa wanapitia watu wengi sana,,,wadau wa heslb,,pia wanapitia sana tu,,,Alafu wiki mbili zilizopita rais wa Tz,,aliitaka tcu kudaili wanafunzi wengi,,sababu kuna upungufu mkubwa sana,,,mahadhiri wa vyuo mbalimbali,,,na madakitali,,,sasa kutamka hivyo,,maana yake ni kwamba heslb wameiwezesha,,,na kweli tcu,,wameongeza muda wa vijana wapya kuapply.sasa itakuwa ajabu kama heslb watawanyima baadhi ya wanafunzi mikopo,,,,mim sitwaelewa,,sijui wenzangu,,,,:fish::A S 27: